zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
<br />1.Tatizo wasichana tunajenga mazingira ya kudanganywa tangu awali. Mwanaume ukimdanganya jambo moja na akagundua umemdanganya ujue wewe utadanganywa matano.<br />
2. Wasichana wamekuwa wepesi sana kuwaamini hawa wanaume hivyo kuwahi kuanzisha mahusiano nao kabla hawajawaelewa.<br />
3. Wanashindwa kutofautisha wanapopendwa kikweli na wanapotumiwa.<br />
4. Wasichana wengi ni kama wanalazimisha penzi, yaani unaona kabisa mtu hakupendi ila kwa sababu moyo wako upo pale unaona hakuna mwingine.<br />
Yaani mimi mtu akinidanganya siku hiyo najua kama ananidanganya. Ndani ya wiki tu nitajua hadi marital status yake labda kama sihitaji kumjua.
<br />
Huo mkwara mbuzi csta,sisi kudanganywa ni kama pai,usipodanganywa hutofurah hata kdg.
Tuombe serikali bada ya kuoa na kuolewa wagongwe mihuli sehemu fulani.