Tuwe makini na VYUO vya mitaani

Tuwe makini na VYUO vya mitaani

Chemwali

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
397
Reaction score
178
Ofisini kwetu kumefanyika mchakato wa scheme of services so watu wamepanda madaraja na mishahara kutokana na sifa zao...but Msala umewakumba wale wenye baadhi ya vyeti vya CHEMWALI College..maana katika mchakato havijawa considered..kama ndo alisomea advance diploma..basi katika mchakato kimehesabiwa cha nyuma yake imagn so hiko ni hewaaaaaaaaa...TUWE MAKINI kwa watoto wetu na Wadogo zetu ambao bado wako kwenye hatua za kusoma
 
Hata mm nimekuwa na mashaka sana na vyuo vnavyochipuka kama uyoga kama vna vigezo vya kutoa elimu husika!

inaogopesha kwa kweli...naona imekuwa biashara nzuri sasa tena huria
 
Ofisini kwetu kumefanyika mchakato wa scheme of services so watu wamepanda madaraja na mishahara kutokana na sifa zao...but Msala umewakumba wale wenye baadhi ya vyeti vya CHEMWALI College..maana katika mchakato havijawa considered..kama ndo alisomea advance diploma..basi katika mchakato kimehesabiwa cha nyuma yake imagn so hiko ni hewaaaaaaaaa...TUWE MAKINI kwa watoto wetu na Wadogo zetu ambao bado wako kwenye hatua za kusoma

Heri yako mwenye ajira...wengine tupo tupo2 kitaani
 
Heri yako mwenye ajira...wengine tupo tupo2 kitaani

pole utapata omba kazi zaidi na zaidi usikate tamaa lakini angalia pia mtiririko wa vyeti vyako kama ni vya Chemwali College tatizo linaanzia hapo
 
nyie madogo epuka xana na vyuo ambavyo haviko registered. mara ooh, chuo kipo gorofa ya tatu, mkabala na stand kuu, epuka xana.

kweli kaka waeleze kabisa hali si nzuri kwenye ajira
 
Ofisini kwetu kumefanyika mchakato wa scheme of services so watu wamepanda madaraja na mishahara kutokana na sifa zao...but Msala umewakumba wale wenye baadhi ya vyeti vya CHEMWALI College..maana katika mchakato havijawa considered..kama ndo alisomea advance diploma..basi katika mchakato kimehesabiwa cha nyuma yake imagn so hiko ni hewaaaaaaaaa...TUWE MAKINI kwa watoto wetu na Wadogo zetu ambao bado wako kwenye hatua za kusoma

kweli mkuu...mdogo wangu limemkumba hilo alipo soma certificate kwenye chuo flan alipotaka kwenda advance level ikawa ngumu kwani chuo alichosoma awali hakiko recognized na NACTE but nivizuri pia tukibase kwenye utendaji wa kazi wa mtu kuliko vyeti
 
Hicho we soma tu. usihofu kwani ni cha sirikali. Dr. Asha Rose Migiro ndo Chancellor mpya kwa sasa.
Hicho we soma tu. usihofu kwani ni cha sirikali. Dr. Asha Rose Migiro ndo Chancellor mpya kwa sasa.
Hicho we soma tu. usihofu kwani ni cha sirikali. Dr. Asha Rose Migiro ndo Chancellor mpya kwa sasa.
Hicho we soma tu. usihofu kwani ni cha sirikali. Dr. Asha Rose Migiro ndo Chancellor mpya kwa sasa.
Hicho we soma tu. usihofu kwani ni cha sirikali. Dr. Asha Rose Migiro ndo Chancellor mpya kwa sasa.
chancellor mpya ni pinda
migiro sasa hivi baloz
 
Back
Top Bottom