Tuwe makini katika kuchagua

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,244
Reaction score
55,826
Kuzaa ni jambo muhimu sana...cha muhimu ni kuangalia unazaa na nani;kuna wengine ni vichwa box....usipokuwa nao makini wanaweza wakawaambukiza watoto wakawa mambumbumbu.Ndio maana watoto wanatofautiana vipaji na uelewa(darasani kuna wa kwanza na wa mwisho).Kwa hiyo nashauri tuwe makini katika kuchaguwa wapi pa kuweka mbegu zetu.
 
Msemaji mwingine kasema kua uyaone..when you plan God also plann.au hujui akili zikizid watu hua vichaa...
ha ha ha ha ila nasi tujitahidi....atakama itakuwa ndivyo sivyo,angalau nasi tulionyesha juhudi
 
Unazaa mtoto mtukutu hujui alijifunza wapi mpaka mama mkwe anakuja kusalimia anasema jamani mtoto wa nyoka ni nyoka yaani Baba yake alinisumbua mimi.
Ndio maana zamani watu walikuwa wanachaguliwa wapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…