Ni NGO ambayo ina pokea misaada ya mavazi kwa watu na mashirika mbali mbali na kuwapa wenye mahitaji. Amini Kuna binadam wenzetu wanavaa matambala, wanatembea peku na bado wanatumaini la maisha kama wengine. Ombi kwako :kama umeguswa na una nguo, matandiko, viatu nk. Piga 0768638360. Uwavishe na Mungu atakubariki. Ahsante!