John Mashaka
Member
- Feb 6, 2013
- 40
- 91
Hakuna binadamu mkamilifu. Hata yesu alikuwa na mapungufu yake. Yawezekana huyu kiongozi akawa moja ya watu wenye udhaifu kwa namna moja au nyingine kama binadamu. Lakini pale kiongozi anapojitokeza kuonyesha uzalendo, uchungu kwa namna hii hadharani, lazima tumuunge mkono.Haya ni maneno hadimu sana kutoka kwa viongozi wetu. Ni ujumbe mzito sana na changamoto kwetu kama taifa kushirikiana kuzilinda rasilimali zetu. Swala la Faru na Tembo itatuathiri wote kama watanzania bila kujali itikadi na matabaka yetu.Licha ya madhaifu ya Kibinadamu, Balozi Kagasheki na Mh. Mwakyembe wanatupa changamoto kubwa sana kama vijana kutokana na uzalendo wao...
Sikiliza
Sikiliza
Last edited by a moderator: