Tuwatake radhi waarab!


Polisi imekamata Polisi 16 kwa tuhuma za kushirikiana na maafisa wa TRA kukusanya ushuru kutoka kwa wafanya biashara wanaoingiza magendo kupitia bandari Bubu ya Mbweni, Kova amekataa kuyataja majina ya hao Polisi amedai uchunguzi bado unaendlea je? ni kwanini walikurupuka sana kulitaja jina la Victor Ambrose mtuhumiwa wa Bomu la Arusha? na wakaenda mbali kuzitaja nchi kwa za wanamotoka watuhumiwa wengine ilihali uchunguzi ulikuwa bado unaendelea? DOUBLE STANDARD
 

Walisema waliwakamata waarabu kwa taarifa walizozipata kutoka suspect wa kwanza ambaye ni Ambroce,sasa iweje waarabu waachiwe dogo abaki ndani? walikurupuka.
 
Walisema waliwakamata waarabu kwa taarifa walizozipata kutoka suspect wa kwanza ambaye ni Ambroce,sasa iweje waarabu waachiwe dogo abaki ndani? walikurupuka.

Hawafanyi kazi kwa weledi wanasukumwa na wanasiasa
 
Nchi inayojiheshimu na kuwapenda raia wake lazima walivalie njuga suala hili sababu huko ni kudhalilishana tu.!!
 
Hapa ndipo panahitajika uzalendo.

Tanzania inahaki na wajibu kwa kujilinda na kujitetea. Inahaki ya kutumia vyombo vyake kumfuatilia mtu yoyote anayehusika au kuonekana kuhusika na usalama wa taifa lake. Inahaki ya kuchukua hatua muhimu na hata kujiridhisha juu ya mtu yoyote yule awe Mwarabu, Mchina, Mzungu, au kabila yingine. Hatua za uchunguzi zimefuatwa na wahusika kuonekana kuwa hawana hatia ndiyo sahihi. Hata hivyo ni uungwana ya kuwa hawakufanyiwa ucheleweshwaji usio na sababu.

Sioni sababu ya kulisemea vibaya jeshi letu hapa.
 
kwakifupi serikali dhaifu pamoja na mr dhaifu wa magogoni waombeni msamaha hao warabu mabwana zenu maana kila siku mr dhaifu yuko nchini mwao kutimiza sheria za ndoa yao nyambafu.
 
Hakuna haja ya kulitetea Jeshi ni kwamba wamekwenda kinyume na weledi wa kazi, hawakutakiwa kuwataja kama upelelezi ulikua haujakamilika, kuna ubaya gani wakisema tu kua polisi inawashikilia watu kwa upelezi zaidi. Shida ya polisi wetu wnafanya kazi kwa msukumo wa wanasiasa..hapo ndio tatizo lilipo! Wangewapeka mahakamani na kuwafungulia mashtaka hapo kungekua hakuna haja yoyote ya kuomba radhi kwa kua wamefuata taratibu za nchi...ila kwa hili wamechemka hakuna kuwatetea hata kidogo period
 
bora uhusiano uvunjike, lili li-mkataba la Mgumia na Mwinyi kuwauzia loliondo life.
 
 
Huu utakuwa wendawazimu kuwataka radhi waarabu hawa ndio makubuu wa kujitoa mhanga, na kuua binadamu wenzao, hata hivyo kwa mjibu wa tamaduni na imani za dini zao hupongeza na kubariki wanaoua kwa kisingizio kuwa wanaoua kwa ajili ya kuteteta imani yao watakuwa katika thawabu na wataketi katka mkono wa kuume kw Mungu.
 

Ebana hata mimi nimewahi kusikia kwamba wanahonga ili wakajitoe muhanga, sijui kama kuna ukweli katika hili
 
Ni uzembe wa jeshi letu, walikamata tu watu ilimradi waonekane na wao wanafanya kazi. Matokeo yake ni haya. Eti mtu anakamatwa kwakuwa mwarabu na aliingia siku kabla akaondoka siku moja baadae! Mi sijawahi kusikia duniani popote mambo haya. Tena waombe radhi na fidia ya usumbufu ilipwe ili next time watumuie akili.
 
Next time watafikiri kabla kutenda jeshi letu limejaa askari vilaza juu mpaka chini.
 
Infatuation at its best, it can also blind ones thinking and the issue at stake.
 
Maskini tanzania kama yatima kuonewa tu hawa watu wameiba wanyama wetu tumenywea, wamemuonga hadi fastjet suti tukawapigia makofi na kwasasa wameachiwa kwa hisani ya safari za fastjet uarabuni bado wanataka tuwape faru kisa walilipua arusha kwa makusudi.


"huku mjini hakuna shamba naambiwa silimi,kunguru kaiba nyama naambiwa ni mimi" ksal $ ferooz
 
Ni kama Askofu Joseph kibwetere,Fr.Ursala Kamuhangi,Credonia Mwerinde,na Fr.Dominic Kataribaro walivyowauwa waumini wao kanisani kwa kuwachoma moto,baada kuchukuwa mali zao,na kusema wanakwenda kwa Yesu,waliwaua waumini 1000.
Na Jonestown,huko Guyana,baada ya mchungaji Jim Jones,kuwaua kwa sumu ya cyanide,aliwauwa waumini 909.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…