Ndug wakati ulipoanza kufafanua nikajuwa unafahamu kiini hasa cha wao kuadamana lakini ulipomaliza mwisho nikajuwa na we ni mmoja kaati ya watu waliopotoshwa kiuelewa.Muv zao ni zipi kwani????manaje ninachokua unapokua na product nzur sokon huna haja ya kuandamana barabaran na kutoa matamko kua bidha inayifanana na yako kutoka nje isiingie ili wewe0 upate soko.Hapo patakuabhakuna ushindan na hutatumia brain kuifanya bidha yakobiwe bora kwakua utabweteka,na kwakua walijiingiza kwenye siasa kwa ahadi hewa kua serekali utawasaidia sasa naona wanakaribia kuomba nguvu ya jeshi maybe ili tynunue kazi zao.Achen ujinga ingien kazin mfanye jitu kizuri muondoe zile watch out part 5,muwe wabunifu enzi za marehem Kanumba mlikua na soko kubwa sanaa kwakua hamkua wanasiasa uchwara mlikua wachapa kazi.Et lile libaba likubwa limekaa mbele linalilia muv za nje zipigwe marufuku dah aibu hii.Angalau mngeomba hzo muv za nje zipigwe kodi kubwa ningewaelewa
Sasa hitimisho lako ni nini maana umelinganisha tu,haijarishi nani atanunua wote walipe kodo yaishe halafu nakuhakikishia hao wakilipa kodi hakuna movie yao itakayouzwa bei sawa na bongo cd moja inamuunganiko wa movie 20 ndani kwamwe haiwezi kuu zwa bei moja n aya bongoYaani CD ya Iris iuzwe 5000 na CD ya bongo movie iuzwe 5000 yaani niache Iris nichukue bongo movie ni kama vile dagaa wa kigoma wauzwe bei sawa na wa mwanza nani atawanunua wa mwanza?
Mfano season mpya ya prison break iliyotoka leo hii iwekwe sokoni na picha zenu za bongo movie tuone kama haitouzika
Mbona diamond kwenye industry ya muziki na kampuni yake ya wcb anafanya vizuri na mashabiki wake wananunua kazi zake
Diamond anatumia kiasi kikubwa cha pesa kutengeneza quality music hawa bongo vilaza wana act kijinga yaani Ray ni director,editor,author,main character yeye yaani kila kitu yeye khaaa
Wakati movie za nje zikiisha mwishoni utakuta list ndefu ya ya presenters ,waigizaji ,waliohusika nk lakini bongolala utakuta list fupi
Movie za nje huchukua muda mpaka inakuwa inaisha lakini huku kwetu miezi 4 movie imeisha
Mwishoni hata wafanyaje bongo movie itabaki vile vile
Waombe tu housegals waongezeke na wanunue kazi zao kwa wingi wawashawishi
Hebu tizama tamthilia za wafilipino,Venezuela na mexico utafananisha na upuuzi wa bongo movie
Movie za nje ni kama dagaa wa kigoma wawekee price tag ya 5000 na bongo movie dagaa wa mwanza 5000 aah kila mtu atakimbilia dagaa wa kigoma