😂😂😂😂dah binadamu wabaya sanaKwetu mbwa akikatiza atapigwa bila kosa
Wana magonjwa hao.Hivyo kugusana na uso hivyo hapana aisee.Kwanini?
Pia mbwa wakikutwa wanafanya mapenzi watadondoshewa tofali la mgongoni wafe.Kwetu mbwa akikatiza atapigwa bila kosa
halafu huo ukatili sana,sijui kwanini tunawachukia hivyo,Pia mbwa wakikutwa wanafanya mapenzi watadondoshewa tofali la mgongoni wafe.
Duh!!!,Mimi nitawapa misosi,chanjo na ikiwezekana kuwaosha lkn siwezi kugusiana uso hivyo.Ndio maana inatakiwa kuwapa chanjo,kuwaosha,kuhakikisha wanalala mahali pasafi na wengine wanawapigisha hadi mswaki
Duh!!!,Huo ukatili mbaya sana.halafu huo ukatili sana,sijui kwanini tunawachukia hivyo,
Kuna jamaa yangu mmoja alinisimulia anasema walirudi home wakiwa na familia,ile kufungua geti tu akakuta mbwa wake wamenatiana na mwingine wa mtaani,akaona kama ameaibishwa,jamaa kwa hasira akaenda kuchukua sindano akaweka weka sumu akawachoma baada ya muda mbwa walikufa,ila anasema jinsi alivyoona wanateseka alijutia sana.
Ni wivu tu wakati na yeye ana mke.halafu huo ukatili sana,sijui kwanini tunawachukia hivyo,
Kuna jamaa yangu mmoja alinisimulia anasema walirudi home wakiwa na familia,ile kufungua geti tu akakuta mbwa wake wamenatiana na mwingine wa mtaani,akaona kama ameaibishwa,jamaa kwa hasira akaenda kuchukua sindano akaweka weka sumu akawachoma baada ya muda mbwa walikufa,ila anasema jinsi alivyoona wanateseka alijutia sana.
Kha!Kha!,UmeuaNi wivu tu wakati na yeye ana mke.