TUWAPE SIFA ZAO

TUWAPE SIFA ZAO

More problems

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
432
Reaction score
257
Nimefuatilia mechi mbili za Serengeti boys huko Gabon nimevutiwa na wachezaji kadhaa[emoji123] [emoji123] [emoji123]

Binafsi Nimevutiwa sana na uchezaji wa Dickson job na Abdul Suleiman pia Msengi[emoji7] [emoji7]

Natamani wasibweteke kufanya mazoezi sana na wasihadaike na vilabu vya simba na yanga.

Akitokea mtu wa kuwasimamia kama wakala anayejua Mpira na asiye na tamaa itakuwa poa[emoji120] [emoji120]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom