More problems
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 432
- 257
Nimefuatilia mechi mbili za Serengeti boys huko Gabon nimevutiwa na wachezaji kadhaa[emoji123] [emoji123] [emoji123]
Binafsi Nimevutiwa sana na uchezaji wa Dickson job na Abdul Suleiman pia Msengi[emoji7] [emoji7]
Natamani wasibweteke kufanya mazoezi sana na wasihadaike na vilabu vya simba na yanga.
Akitokea mtu wa kuwasimamia kama wakala anayejua Mpira na asiye na tamaa itakuwa poa[emoji120] [emoji120]
Binafsi Nimevutiwa sana na uchezaji wa Dickson job na Abdul Suleiman pia Msengi[emoji7] [emoji7]
Natamani wasibweteke kufanya mazoezi sana na wasihadaike na vilabu vya simba na yanga.
Akitokea mtu wa kuwasimamia kama wakala anayejua Mpira na asiye na tamaa itakuwa poa[emoji120] [emoji120]