Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Titho Mahinya alikuwa mkurugenzi Jiji la Mwanza akapambana kuhakikisha Wenje anachakachuliwa. Baadaye akahamishiwa Mbarali na safari yake imeishia hapo. Nadhani kulikuwa na vigezo fulani labda walitumia au walitaka tu kuweka watu wapya waanze upya