Tuwajue Ma-DED waliopoteza majimbo na wamebakizwa!

Kwa mwendo huu ni ndoto kwa CCM kuondoka madarakani kupitia kiini macho cha sanduku la mpiga kura na ndiyo maana kumbe huyu jamaa uchwara anazuia harakati za kisiasa kwa vyama vya upinzani make technically ameshaziba mishipa yote ya fahamu kwenye masuala ya demokrasia.
Na hili "likatiba mfinyango" lao sioni mantiki ya kulileta uraiani tulipigie kura.
 
Kwani kigezo no matokeo ya uchaguzi katika halmashauri zao?
Acha Urofa" Great thinkers si kukuruputa tu mbona yako maeneo mengi ccm walishindwa Wakurugenzi wamebaki na maeneo ambayo ccm ilishinda mkurugenzi kaondolewa, Basi tueleze na wa Geita mjini nini kimetokea? Usiwe 'Mvivu wa Kufikiria"
 
Kupoteza majimbo? How?kwani majimbo ni Mali ya ccm?
Nimejaribu kuchunguza majina ya wakurugenzi yaliyotangazwa hivi karibuni nashindwa kuelewa kama kuna hata mmoja aliyepoteza jimbo au majimbo na amerudishwa kwenye nafasi hiyo? Nikianza na wa Ilala - Isaya Mungurumi (huyu alipoteza Ukonga), rafiki yangu Upendo Sanga (huyu alikuwa Mbeya). Hawa wote wametoswa. Sasa kama kuna yeyote unamfahamu aliyerudishwa tumjue hapa! Haya ndiyo huwafanya ma-DED kutoa maamuzi ya kijinga sana wakati wa uchaguzi! Sasa hivi kuna makada wengi wamejazwa huko, hivyo 2020 tujiandae kisaikolojia!
 
Kuna huyu binadamu anaitwa Anderson Msumba (Kahama)nimeshangaa kukumtuka katika orodha ya ma-DED kwa maana anaendelea kuwatumikia wananchi katika ardhi hii ya JMT.Ninatoa Rai kwa serikali ya awamu ya tano kuwa makini na huyu jamaa.Sitaki kuandika mengi juu yake wakati vyombo vya kuweza kuitisha faili lake na kumchunguza vipo.Lakini manispaa za Ilala,Mtwara na Lindi alikohudumu kama mwanasheria wa manispaa ameacha vilio kwa wananchi kwa kushiriki mikataba mibovu ya kisheria (jamaa ana degree ya sheria)na kuwakandamiza wananchi mahakamani walipopeleka malalamiko yao mahakamani.Kuna tetesi kwamba hata kuhama kwake toka Lindi alijihamisha baada ya kupiga dili ya upimaji viwanja 2503 manispaa ilipoingia ubia mtata na UTT na kusababisha wananchi zaidi ya 700 kwenda mahakamani.

Kama ya kale hayanuki basi tusubiri tugange yajayo.
 
Mimi nafikiri tofauti na mtoa mada. JPM nadhani amewaona watendaji wengi wa umma wa awamu za nyuma kama hawaielewi kasi yake kwa sababu ya mazoea yao ya zamani ya kuendesha mambo kwa dili. Hivyo ameamua kuwaondoa na kuwaweka watu ambao ni freshi na wanaoweza kwenda sawa na kasi yake. Kwani kuna usemi wa busara wa wahenga usemao " Mbwa wa zamani hafundishwi mbinu mpya za uwindaji" Tafakari.
 
Kuna wakurugenzi walideserve kupigwa chini, mfano mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya iringa alikua hana uwezo kabisa kilichokua kinambeba ni kujuanalization. Alikua anaendeshwa sana na madiwani. Diwani akimwambia mwamishe ntumishi flani bila kureason anatekeleza.she was very dhaifu
 
Mkurugenzi wa iringa mjini katoswa ..Huyu alienda mbali zaidi kwani kwani alimsaidia peter msigwa kuiba kura za mwakalebela. HUYU DED alikua.ni chadema alipewaga ukurugenzi na lowassa kipindi lowasa amekua waziri mkuu
 
Kijana mchapa kazi na msomi hawezi kuwa kibaraka wa kuishi kama fisi anayemfukuzia binadamu mkono uanguke.
Huyo labda ni mchapa kazi kwenye uwanja wa mahaba mpwa!
Easy Mpwa...... muache classmate wangu. Nimchapakazi ngoja aje kututumikia wana Dar.

Uje Pm tupeane location za weekend hii
 
Easy Mpwa...... muache classmate wangu. Nimchapakazi ngoja aje kututumikia wana Dar.

Uje Pm tupeane location za weekend hii
Hii weekend imekuwa ndefu mno mpwa ikiisha tu mashule ndio yanafunguliwa na wamiliki wa mashule wanatutolea macho watoto tuwalipie school fees.

Wengine shule za umma zimetushinda tunataka kuzalisha Generation ya Ma-CEO.
 
Mkurugenzi wa iringa mjini katoswa ..Huyu alienda mbali zaidi kwani kwani alimsaidia peter msigwa kuiba kura za mwakalebela. HUYU DED alikua.ni chadema alipewaga ukurugenzi na lowassa kipindi lowasa amekua waziri mkuu
Kwahiyo ccm huwa hawashindi uchaguzi mpaka waibe kura? Hebu tuwekee takwimu hapa jamvini Magufuli alipata kura ngapi na Mwakalebela alipata kura ngapi kwenye jimbo hilo?
 
Kuna huyu binadamu anaitwa Anderson Msumba (Kahama)nimeshangaa kukumtuka katika orodha ya ma-DED kwa maana anaendelea kuwatumikia wananchi katika ardhi hii ya JMT.Ninatoa Rai kwa serikali ya awamu ya tano kuwa makini na huyu jamaa.Sitaki kuandika mengi juu yake wakati vyombo vya kuweza kuitisha faili lake na kumchunguza vipo.Lakini manispaa za Ilala,Mtwara na Lindi alikohudumu kama mwanasheria wa manispaa ameacha vilio kwa wananchi kwa kushiriki mikataba mibovu ya kisheria (jamaa ana degree ya sheria)na kuwakandamiza wananchi mahakamani walipopeleka malalamiko yao mahakamani.Kuna tetesi kwamba hata kuhama kwake toka Lindi alijihamisha baada ya kupiga dili ya upimaji viwanja 2503 manispaa ilipoingia ubia mtata na UTT na kusababisha wananchi zaidi ya 700 kwenda mahakamani.

Kama ya kale hayanuki basi tusubiri tugange yajayo.
Kumbe mkiweka ukada pembeni huwa mnaandika point sometimes? Na hayo uliyoandika ndiyo tunayalalamikia siku zote huku tuliko, nyie mnadhani tuna chuki na chama tawala.
 
Kumbe mkiweka ukada pembeni huwa mnaandika point sometimes? Na hayo uliyoandika ndiyo tunayalalamikia siku zote huku tuliko, nyie mnadhani tuna chuki na chama tawala.
Mkuu ninaomba ufute kauli yako,mimi sio kada.Nirejeshee heshima yangu kwa kunitaka radhi kwangu mimi na familia yangu.
 
Yule Mkurugenzi wa Jiji la Tanga aliyemtangaza Meya wa CCM wakati alishinda wa CUF kaachwa, pamoja na kutokaa ofisini miezi mitatu akihofia usalama.
Daud Mayeji hajaachwa fatiria Taarifa vzr,yule baba ana moyo wa ki****ya
 
Kwa mfano DED wa kibaha anafanya nini? Hataki kuchonga barabara zinazoelekea kwenye maeneo/mashamba ya watu ili watu wenyewe waweze kwenda kuyaendeleza. Sasa kama maeneo hayaendelezwi watapata wapi kodi?
 
Back
Top Bottom