Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,415
- 159,656
Wewe wasema.hili la kutotosheka kuna mawil.. moja uwezo mdgo wa jamaa au jamaa kapta chombo kipya so kwako anatimiza t wajibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wasema.hili la kutotosheka kuna mawil.. moja uwezo mdgo wa jamaa au jamaa kapta chombo kipya so kwako anatimiza t wajibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
wanasema ukila nyama lazima utake tenaNdio hivyo, hutupoi wala hatuboi. Kiroho safi yaani.
Naanzaje kusepa mkuu hakuna mwanaume wa peke yako wako akiwa kwako akitoka ni wa wenzako
Kwanini uache kula sasa wakati ipo?wanasema ukila nyama lazima utake tena
Labda mwanamke alokaa home bila kutoka kabisaaaaKwakweli, nani akae ateseke na ukame wakati maji yapo tele!!
Acha waendelee kujifariji tu. Uzuri sie tuna adabu hatufanyi kwa kuwakomoa hivyo hawatojua.
Hahhaha huo ndio ukweli prisonerAhahahabah, kweli wakipatikana wanawake kama wewe 10 tu, hakika dunia itasimama kwa muda.
Aiseeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini uache kula sasa wakati ipo?
TIT 4 TAT MNALIPIZA AU SIO?Kwanini uache kula sasa wakati ipo?
Inakua hamna namna mkuuTIT 4 TAT MNALIPIZA AU SIO?
Ni DHANA tu.Habari wanajf!
Niende kwenye mada husika moja kwa moja. Jamani wanaume kuna wakati tuwe wawazi tu katika mahusiano yetu kuwa ni ngumu sana kwa mwanaume rijali kuwa na mke mmoja! Najua wapo watakaotoa povu na wengine kusema wanaume masikini ndiyo wanaoendekeza hii kitu lkn si kweli, kama dume rijali, shababi la nguvu, eweee dada yangu usitegemee utakuwa peke yako ktk ndoa.
Hao tunaosema matajiri hawana mambo hizi, nao ni wachepukaji wakubwa tu ila sema 'wanakula mizigo classic' sn na wanalia mbali hukooo. Nenda Dubai na maeneo mengine mazuri ya kujiachia ndo utashangaa. Celebrity anatoka hp swaga kibao naenda shopping Dubai kumbe alishafanyiwa booking kule anaenda kufanya kazi tu.
Tuachanae na hao, hebu cheki hawa wengine. Kaoa lkn kutokana na dini yk inambana sn anaona isiwe shida anaamua kurudi shamba kwao huko kuoa ndoa ya kimila kuhalalisha tu ili ale 'mzigo' kiroho safi bila longolongo. Swali ina maana hy mmoja aliemuoa hamtoshelezi?
Ukija upande huu mwingine Alhamdulillaah umepewa ruksa kabisaaa kuoa kuanzia "ithnan, thalatha wa ruba'a ukiona sio mwadilifu basi anza na 'wahiid'!
Wapo dada zetu na wapenzi wetu mtakuja mie hubby wangu hv na vile nakuhakikishia mpe mwaka mmoja ukizidi sn mwaka wa pili ktk ndoa yenu, kama ni shababi na rijali hasa bhasi tambua km hana wa kukaa nae muda mrefu anakuwa mzee wa 'hit and run'! Hk maofisini ndo balaa kabisaa unakosema anakuwa busy kutwa nzima!
Simply, nakushauri tu mwanaume mwenzangu kama una zaidi ya mmoja fanya jitihada tu za kuhalalisha badala ya kujifichaficha!
WACHA WEEE.... ACHA TUWAFAIDI MKUU HAHAHAInakua hamna namna mkuu
Hahhaha huo ndio ukweli prisoner
Asante prisoner nakupenda pia tumeambiwa tuishi na nyie kwa akiliHaya bhana shunie.
Kwa namna hiyo, ni wazi miaka 1000 ni yako mama. Maana hautakuwa na presha wala mawazo ya mahusiano hata kidogo.....
#nimekupenda bure aiseeeh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaah shunie bhana!!.Asante prisoner nakupenda pia tumeambiwa tuishi na nyie kwa akili
Sio kulipiza, ni kujipa tu kitu roho inapenda.TIT 4 TAT MNALIPIZA AU SIO?
BASI ACHA TUENDELEE KUWAFAIDISio kulipiza, ni kujipa tu kitu roho inapenda.
Ni nyie bwana hivi hamjijui mlivyo pasua kichwaAhahahahaaah shunie bhana!!.
Ni nyie au sisi, ndio tunatakiwa tuishi kwa akili na nyinyi?. Maana vitimbwi vyenu sio poowah, na ndio maana tunatanguliaga kwenye udongo na kuwaacha.
Sent using Jamii Forums mobile app