Tuwaambie ukweli wanawake, hakuna mwanaume rijali anaetosheka na mwanamke mmoja!

Nadhani mada umeielewa vibaya. Mm nazungumzia suala la kukubali na hatimaye kuhalalisha kuwa mke rasmi. Wewe dada, mke na mpenzi vema ukubali muwe wawili kuliko kujidanganya
Kiroho safi na nyie mnachapiwa...
Mana ohh mi mke wa mtu jamaa nae adakia na me mme wa mtu...basi mwishowee ngoma droo
Inasikitisha sn
 
Nadhani mada umeielewa vibaya. Mm nazungumzia suala la kukubali na hatimaye kuhalalisha kuwa mke rasmi. Wewe dada, mke na mpenzi vema ukubali muwe wawili kuliko kujidanganya
Kuwa wawili ina kadhia zake mwanaume anashindwa kujigawa ipasavyo...mwishowe mwanamke anapata bwana mwingine wa kumsaidia mumewe ilhali bado yuko ndoani
 
Labda wewe mwanamke wale wa zamani wanaojua mapenzi! Kama ndiyo hvy hongera zako na tafuta shababi na rijali hasa mwenye kuzijua show za kibabe. Lkn kama hawa wa kizazi hiki ambao hata kiuno kigumu kama nn utapata taabu tu ukiamua kuhangaika coz utaja kutana na wababe wa show na kujuta
Kwani unafikiri hata sidi tunatosheka!! Basi tu tunaamua kukituliza.
 
Dada suala la uwiano huo hb achana na theory nenda ktk nadharia zaidi. Basi pita hata ktk taasisi i ayihusima na masuala ya takwimu uangalie hilo kwa hapa Bongo.

Ukija suala la upendo, ni hv mm kuwa na upendo na ww hainizuii kuwa na upendo na Christina. Hy yote ya uvumilivu na blaah blaah nyingine ht kama nitakuwa na ww na mwingine vitabaki constant!

Tambua mwanaume ni tofauti sn na mwanamke. Nyie mnapenda kitu kimoja at par! Lkn wanaume twaweza kuoenda kitu zaidi ya kimoja at par
Macho hayana pazia...wewe kunioa si guarantee ya wewe kutotamani Hilo najua

Ila ukiwa na hofu ndani yako huwez ukayafanya hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watulivi wengi ni wanawake wa zamani sikuhz kila mwanamke anajishughulisha anakutana na wanaume
Umsumbue anakuvutia danga lake fastaa

Zamani polygamy ilikua rahisi mazingira yaliruhusu
Kwakweli, nani akae ateseke na ukame wakati maji yapo tele!!
Acha waendelee kujifariji tu. Uzuri sie tuna adabu hatufanyi kwa kuwakomoa hivyo hawatojua.
 
Back
Top Bottom