Tuvumiliane shule zimefungwa.

Mshuza2

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
11,015
16,447
Wakuu..kumekua na ongezeko la mada ambazo kiukweli kwa slogan ya home of great thinker's ni aibu kuwepo..lakini kama tujuavyo shule zimefungwa watoto wanajiachia tu humu..ukakasi umejaa..masikhara yamezidi..matusi ndio usiseme..
Hivyo tuvumiliane wakuu..
 
Wakuu..kumekua na ongezeko la mada ambazo kiukweli kwa slogan ya home of great thinker's ni aibu kuwepo..lakini kama tujuavyo shule zimefungwa watoto wanajiachia tu humu..ukakasi umejaa..masikhara yamezidi..matusi ndio usiseme..
Hivyo tuvumiliane wakuu..
NA siku zote mvumilivu
Hula mbivu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom