20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,261
Wasalam Waungwana.
Tanzania kuna vichwa haswaaa kuna wajuzi wa mambo kada wa kada, lakini kinacho fanya tusiruke zaidi ni kila mtu kujificha kando na ujuzi wake,kile anacho kijua. Hatupeana challenges za kufanya utundu ubunifu ukue zaidi, Sijui why?
Lakini leo nimetaka tufahamiane, tujuane, hapa tunaweza elewana nani anaweza mfata nani akampa uelekeo, guidance akawa mentor wake ,partner wake au mtu wa kujifunza pamoja. Ktk ulimwengu wa technology tunajifunza kilaa siku.
Naomba nitoe wito basi, huko mlipo wababe ,wajuzi au hata kama unajifunza habari za technology kwa upana wake.
Kama ni Programmer wa language yeyote, unafanya Arduino, RI, ML, Jetson Unafanya automation ya aina yeyote ,Robotics, Mechanical engineer, Electronics ,Umeme, Hata kama wewe ni mtundu mtundu wa hayo makolokolo Hebu ibuka basi tujuane tufahamiane.
Tutoe njia kwa walio gizani, tuwape uelekeo n.k Bongo tunahitaji kukua zaidi kwenda mbaliiii mno. Ukicheki hata Huko You tube utakuta watu nje ,wahindi ndio wamejaaa. Nina maono flani hivi Lakin kwanza tujuane tuone tunainua vipi hiii sekta inayo jificha.
Tanzania kuna vichwa haswaaa kuna wajuzi wa mambo kada wa kada, lakini kinacho fanya tusiruke zaidi ni kila mtu kujificha kando na ujuzi wake,kile anacho kijua. Hatupeana challenges za kufanya utundu ubunifu ukue zaidi, Sijui why?
Lakini leo nimetaka tufahamiane, tujuane, hapa tunaweza elewana nani anaweza mfata nani akampa uelekeo, guidance akawa mentor wake ,partner wake au mtu wa kujifunza pamoja. Ktk ulimwengu wa technology tunajifunza kilaa siku.
Naomba nitoe wito basi, huko mlipo wababe ,wajuzi au hata kama unajifunza habari za technology kwa upana wake.
Kama ni Programmer wa language yeyote, unafanya Arduino, RI, ML, Jetson Unafanya automation ya aina yeyote ,Robotics, Mechanical engineer, Electronics ,Umeme, Hata kama wewe ni mtundu mtundu wa hayo makolokolo Hebu ibuka basi tujuane tufahamiane.
Tutoe njia kwa walio gizani, tuwape uelekeo n.k Bongo tunahitaji kukua zaidi kwenda mbaliiii mno. Ukicheki hata Huko You tube utakuta watu nje ,wahindi ndio wamejaaa. Nina maono flani hivi Lakin kwanza tujuane tuone tunainua vipi hiii sekta inayo jificha.