Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,806
- 7,414
Sawavkama umekubaliana, binafsi ni mguatiluaji na mwenye sgauku ya kuona teknolojia inakuwa kubwa ila watu wengi huwa wanadhani teknojia ni raisi raisi tu kumbe ni mkakati jkabambe ybsohitaji watu waliopevuka.Kumbe hata hujui nilipo. Ila anyway regardless nalo fanya Kiongoz, kila watu huanzia chini, hayao makampuni makubwa nayo yali struggle same man.
Kuna vision flani nataka wapatia vijana hapa tukue zaidi. La msingi ktk life la sasa ni mawazo, ideas. Hatupo ktk Era or age ya fun,kucheza cheza tu.
So, dude way unavyo fikiria na ku handle vitu ni tofauti na wengine wowote.
usilazimishe lazima 2+7=9 kuna 5+4,6+3,8+1= 9. Nikipata watu watano tu wenye ujuzi flan wana excel tutakutana Juuu zaidi.
Kwa hio dikukagishi tamaa ila nilitoa angslixo kuwa wenye pesa hapa Africa hawaba mda ba kukuza teknolojia vinginevyo ufanye oartnership ba wazungu au wahindi.
Rejea yule dogo wa kenya alietangaza kuwa anataka kenya ipate flying tax(drones), mpaka leo mwaka karibu wa nne hakuna kinacho endelea huku wachina na wazungu wanafanya majaribio ya hio tech.
Mkuu mi mwenyewe nina idea nafikiri kuna uzi ninewahi kuzungunzia ila nikiwaza pesa na vifaa, laboratory naamua nipotezee.
Kuna ideaa ninazo zipo mbili hata Elon mwenyewe hajawahi iwaza na wala sijaiona popote zipo moyoni mwangu tu, zitafia akilini mwangu sasa ni mwaka wa sita.
Mkuu kukuza tech sio lelemama hasa kwa nchi zetu za wasaka tonge.jaribu huenda uka breakthrough