Tutume delegation kwenda kwa Trump

Tutume delegation kwenda kwa Trump

Trump ni nani kwenye nchi yetu?

yaani kwa akili hizo halafu mnataka tuwape nchi? kesho kutwa mapema naenda kutiki. karibu kwa matusi pia
 
Trump ndo hana muda kabisaa na bara la giza, tusipojikomboa wenyewe tutulie tuangamie .
No one is coming to save us my friend!
 
Tramp ndo mwenye uwezo wa kuvulugavuluga mtandao wote wa watekaji
 
Yeye mwenyewe nchi mwake kuna maandamao ya No kings Ina America.

Atawasaidia nini huyo bwenyenye?

Niamini mm, Any revolutionary ambayo haitatoka kwa wananchi haitakua na maslai mapana ya Wananchi. Bado wataingia vibaraka tu
 
Yeye mwenyewe nchi mwake kuna maandamao ya No kings Ina America.

Atawasaidia nini huyo bwenyenye?

Niamini mm, Any revolutionary ambayo haitatoka kwa wananchi haitakua na maslai mapana ya Wananchi. Bado wataingia vibaraka tu
Uko sahihi. Yeye anamtisha bibi halafu wananchi wanachukua nchi
 
Back
Top Bottom