CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,529
Habarini za wakati huu?
Kutokana na wadau wa jukwaa hili uwa bize na upendo wa baadhi ya kazi zinazotafsiriwa kama zenye kipato uzuri na kwa kiwango iubwa wadau na watafutaji wamekuwa hawaipi nafasi kazi ya ukufunzi au Tutorial Assistant.
Historia inaonesha kuwa wale wote waliokuwa maprofesa na wasomi nguli walianzia katia ngazi ya chini kabisa yaani T.A
Wadau hapo jana kumekuwepo na muendelezo wa matangazo ya ajira mbalimbali serikalini ikiwemo ya T.A, karibuni tujadili ubora wa asali katia nafasi hii, aina ya maswali kwa wenye uzoefu na aina hii ya kazi, changamoto na maslahi yake kwa ujumla.
Karibuni Wapambanaji.
Kutokana na wadau wa jukwaa hili uwa bize na upendo wa baadhi ya kazi zinazotafsiriwa kama zenye kipato uzuri na kwa kiwango iubwa wadau na watafutaji wamekuwa hawaipi nafasi kazi ya ukufunzi au Tutorial Assistant.
Historia inaonesha kuwa wale wote waliokuwa maprofesa na wasomi nguli walianzia katia ngazi ya chini kabisa yaani T.A
Wadau hapo jana kumekuwepo na muendelezo wa matangazo ya ajira mbalimbali serikalini ikiwemo ya T.A, karibuni tujadili ubora wa asali katia nafasi hii, aina ya maswali kwa wenye uzoefu na aina hii ya kazi, changamoto na maslahi yake kwa ujumla.
Karibuni Wapambanaji.