Wabunge si ndio walewale, unafikiri angekuwa na wabunge wa maana kuwateuwa uwaziri huyu mama Tax asingeteuliwa ubunge ili apewe uwaziri.
Wabunge wa ccm wamejaa kina Kibajaj, Msukuma na watu wa hovyo kama Gwajiboy.
Ukikuta msomi ndio hawa kina Mwigulu najanga matupu akili imechoka na imezeeka wakati bado mtoto mdogo tu.
Bongo bahati mbaya.