guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
Bunge kitakuwa live?
Una uhakika?Garasa mbona lilipitavna wewe ( ULITUMBUKA)
Samahani mama DKinyungu kwani siku21 za maombolezo zimeisha? Kwanini unaumia sanaa?
Au tukuombolezee wewe?
Salary Slip kuwa na tamaa lakini usitamani msiba
Hata Rais Samia Suluhu Hassan jana alimkumbuka John Pombe Magufuli na kumwombea raha ya milele na mwanga wa milele umuangazie sababu bado tuko kwenye maombolezo ndugu
Punguza hasira,Magufuli ameshakufa,kazi ni kwako wewe ulietaka Magufuli afe,umepata nini?Naona ujinga wa kumtukuza Magu bado unaendelea!
Naona ujinga wa kumtukuza Magu bado unaende
waambie wakutukuze wewe ma.maeNaona ujinga wa kumtukuza Magu bado unaendelea!
Ana tamaa sana....tusubirie kwenda kula popcorn IbizaKuna mtu pale kwenye maziko aliomba kutumwa. Hukuelewa!?