Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,410
- 14,156
Uongo mtupu huu.
UAMSHO @ work
Uongo mtupu huu.
Ungeweka unaouita wewe ni ukweli, ungebahatika kukiita ulichokibeba kichwa .. Hakuna anayelazimisha mdau accoment Kama huna Hoja..
Watu Zomba huku wanalalamika mbaya, kwanini keki isigawanywe Kama maazimio ya Kamati iliyokaa Jumanne?..
Na baada ya Mkutano Wa kesho nimeahidiwa kuletewa orodha
Ungeweka unaouita wewe ni ukweli, ungebahatika kukiita ulichokibeba kichwa .. Hakuna anayelazimisha mdau accoment Kama huna Hoja..
Watu Zomba huku wanalalamika mbaya, kwanini keki isigawanywe Kama maazimio ya Kamati iliyokaa Jumanne?..
Na baada ya Mkutano Wa kesho nimeahidiwa kuletewa orodha ya wadhamini waliochangishwa fedha kuudhamini mkutano Wa Kesho, kiasi gani kimetolewa Na ngapi wametia mifukoni..
Halafu Zomba nakushauri I'd ya Zomba uibadilishe, kikwetu Zomba ni Kama MSUKULE..
UAMSHO @ work
Leo tumefanya maandamno tunasikia kuna mmoja huko NECTA kisha simamishwa kazi, na bado!
"mpaka kieleweke" - Sheikh Farid wa Uamsho Zanzibar.
CCM wanaenda kuongea nini Jangwani?
Hapa ndipo unapaswa kumuelimisha Rais wako JK kwamba aige mfano wa NECTA kwa kumsimamisha kazi mtu mwenye tuhuma ili uchunguzi ufanyike, lakini cha kushangaza JK hana ubavu wa kuwasimamisha kazi Mafisadi wengi tu ambao wapo chini ya mamlaka yake ya uteuzi.Leo tumefanya maandamno tunasikia kuna mmoja huko NECTA kisha simamishwa kazi, na bado!
"mpaka kieleweke" - Sheikh Farid wa Uamsho Zanzibar.
Hapa ndipo unapaswa kumuelimisha Rais wako JK kwamba aige mfano wa NECTA kwa kumsimamisha kazi mtu mwenye tuhuma ili uchunguzi ufanyike, lakini cha kushangaza JK hana ubavu wa kuwasimamisha kazi Mafisadi wengi tu ambao wapo chini ya mamlaka yake ya uteuzi.
Msitutoe kwenye topic. Malori ndo hayo yameanza kazi ya kusomba watu. Picha zitaendelea kuwekwa.
Safi sana, kumbe na usafiri upo. CCM juu zaidi.
Zomba kweli kapinda...
Safi sana, kumbe na usafiri upo. CCM juu zaidi.
Uongo mtupu huu.