Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Taarifa zilizofika dawatini sasa, baadhi ya viongozi Wa Mashina wa CCM,wametishia kususia mkutano wa kesho viwanja vya Jangwani ndani ya Jiji la DSM.
Viongozi Hao ambao wanalalamika kwamba pesa iliyotolewa Kwenye Kampeni inayojulikana Kama 'Jaza uwanja' Kwa ajili ya kufanya hamasisho imechakachuliwa..
Viongozi Hao ambao waziwazi wanasema bila pesa hafanywi Mjinga Mtu hapa, wanadai fedha za Usafiri wamepewa vijana wahuni ambao wametafuta mafuso mabovu.. Wazee Hao wanasema hapandi fuso Mtu hiyo kesho waletewe mabasi laini..
Bila Aibu wanasema wangekabidhiwa wao bahasha hizo wangewahamasisha raia wao waende hata pasipo usafiri, Lakini Kwa kuwa madiwani wameingilia zoezi hilo Basi wakajipange wao huko jangwani Kesho..
Wamemwambia Mwenyekiti wa CCM DSM, kwamba hawataki kuasi vuguvugu alilolianzisha mwenyekiti wa bodi ya wadhamini wa Chama Peter Kisumo, Lakini pia hawataki kufanywa wapuuzi, pesa wale wengine kazi wafanye wao..
Amavipi ingejulikana wazi kwamba Chama hakijatoa fungu lolote, Na tufanye Kwa moyo Kwa Ujenzi wa Chama Basi wangekuwa radhi kukitumikia Chama Kwa atayeweza.. Lakini Kwa tabia hii ya Kula wale wengine Na kubebeshwa Chama tubebe sisi, hakuna bogaz kwenye kizazi hiki wameng'aka wazee hawa.
Wazee hawa wamedai barua Kali walizosambaziwa zinazowashurutisha wao kwamba kiongozi ambaye hataleta watu kwenye mkutano wa kesho atajadiliwa vikali.. Tishio Hilo wamesema hawaliogopi..
My Take..!
CCM wakijitahidi wakaweka mziki Wa nguvu Na kukodi taarabu za kutosha plus TOT, maeneo ya jangwani bado yana wakazi wabishi ambao hawajang'oka kuhamia Mabwepande, watakuja kusikiliza midundiko.. Ila hotuba zikianza hapo uwanja utakuwa mweupe..
Viongozi Hao ambao wanalalamika kwamba pesa iliyotolewa Kwenye Kampeni inayojulikana Kama 'Jaza uwanja' Kwa ajili ya kufanya hamasisho imechakachuliwa..
Viongozi Hao ambao waziwazi wanasema bila pesa hafanywi Mjinga Mtu hapa, wanadai fedha za Usafiri wamepewa vijana wahuni ambao wametafuta mafuso mabovu.. Wazee Hao wanasema hapandi fuso Mtu hiyo kesho waletewe mabasi laini..
Bila Aibu wanasema wangekabidhiwa wao bahasha hizo wangewahamasisha raia wao waende hata pasipo usafiri, Lakini Kwa kuwa madiwani wameingilia zoezi hilo Basi wakajipange wao huko jangwani Kesho..
Wamemwambia Mwenyekiti wa CCM DSM, kwamba hawataki kuasi vuguvugu alilolianzisha mwenyekiti wa bodi ya wadhamini wa Chama Peter Kisumo, Lakini pia hawataki kufanywa wapuuzi, pesa wale wengine kazi wafanye wao..
Amavipi ingejulikana wazi kwamba Chama hakijatoa fungu lolote, Na tufanye Kwa moyo Kwa Ujenzi wa Chama Basi wangekuwa radhi kukitumikia Chama Kwa atayeweza.. Lakini Kwa tabia hii ya Kula wale wengine Na kubebeshwa Chama tubebe sisi, hakuna bogaz kwenye kizazi hiki wameng'aka wazee hawa.
Wazee hawa wamedai barua Kali walizosambaziwa zinazowashurutisha wao kwamba kiongozi ambaye hataleta watu kwenye mkutano wa kesho atajadiliwa vikali.. Tishio Hilo wamesema hawaliogopi..
My Take..!
CCM wakijitahidi wakaweka mziki Wa nguvu Na kukodi taarabu za kutosha plus TOT, maeneo ya jangwani bado yana wakazi wabishi ambao hawajang'oka kuhamia Mabwepande, watakuja kusikiliza midundiko.. Ila hotuba zikianza hapo uwanja utakuwa mweupe..