Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,632
Mwenye macho haambiwi tazama.
Mwenye masikio haambiwi sikia.
Tutarajie wazanzibari wakipiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana kupitia mgongo wa Tanganyika huku Tanganyika tukiendelea kudidimia.
Mpaka sasa bado nchi haijawa stable na haijulikani lini itakuwa stable.
Wazanzibari wanazawadiana vyeo huko serikalini ,huduma zote za msingi zinahamishiwa Zanzibar ila huku Tanganyika pesa inaishia kununua magoli.
Ukiacha maslahi binafsi ya muda mfupi , ni ngumu sana kushabikia serikali iliyopo madarakani labda nati ziwe zimelegea.
Mwenye masikio haambiwi sikia.
Tutarajie wazanzibari wakipiga hatua za kimaendeleo kwa kasi sana kupitia mgongo wa Tanganyika huku Tanganyika tukiendelea kudidimia.
Mpaka sasa bado nchi haijawa stable na haijulikani lini itakuwa stable.
Wazanzibari wanazawadiana vyeo huko serikalini ,huduma zote za msingi zinahamishiwa Zanzibar ila huku Tanganyika pesa inaishia kununua magoli.
Ukiacha maslahi binafsi ya muda mfupi , ni ngumu sana kushabikia serikali iliyopo madarakani labda nati ziwe zimelegea.