Mwenye taarifa sahihi naomba anifahamishe lini matokeo ya kidato cha nne (IV) yatatolewa? ili niweze kuondokana na shinikizo la kuwaza pasipokujua siku wala saa.
Sio matokeo...
Sema Madudu ya 4m 4 lini...?!
Ijumaa ndugu mambo hazarani,,lazima tumtafute mchawi tena nawambia..
Ngoja niwe mtabiri hapa:
zero aka sufuli aka point 34 na 35 ni 47%..
Div 4 aka wapata vyeti visiofaa kitu ni 32%..
2ngoje kesho...
Hivi wewe Magwero mbona una roho mbaya kiasi hiki?Unatoa utabiri wa watu kufaulu na sifuri unadhani unayoyasema ni mazuri?Badala ya kujiuliza hao watanzania wenzetu "watakaofeli" tuwasaidiaje wewe unawawazia mabaya?
Kwa mujibu wa baraza la mithiani kama mambo yataenda kama yalivyopangwa...kesho matokeo ya kidato cha nne yatatoka na kwa taarifa za awali wasichana wameng'ara zaidi ya wavulana wakati huo huo shule za private zimezidi kuwa juu kuliko zile za serikali tena za kata...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.