Tutarajie nini matokeo kidato cha nne 2013?

:target::majani7: TUTARAJIE VIDUKU TU KAMA HIVI:target: MAANA VIJANA WAMEJIKITA SAANA KWENYE VIGODORO NA USHAROWARO TU:majani7: FULL UTUMBO TU:majani7:
Sufuri zinazopatikana kwa watahiniwa wa kidato cha nne zinatokana na namna gani tumewekeza na kuithamini elimu yetu....matatizo yapo upande wa wawezeshaji/walim na wawezeshwaji/wanafunzi...
Upande wa wawezeshaji kuna haya;
1) sekta ya ualimu haina mwenyewe, kila mmoja ni mwalimu na anaweza kuamuru mwanafunzi afanye nini..kwa upande wa shule nyingi za binafsi hasa zilizo mikoani walimu wenye taaluma ni wachache, weng ni six leavers na watu toka kada nyingine mbali na ualimu waliokosa ajira na kukimbilia kwenye dampo la ualimu lisochagua, bora awe amepita form six anaingia kuanza kurekebisha akili za wanafunzi. Kuwepo kwa watu hawa kwa kiasi fulani kunasababisha matokeo mabaya ya wanafuni wetu kwa sababu japo wanaweza jua content lakini njia na namna ya kumfundisha mwanafunzi hawajui, pia wengi hufanya kaz kwa kulipua tu kwa sababu wanajua wakati wowote wanaweza ondoka kwa sababu sio fani yao, pia hawa ndio kwa kiasi kikubwa wanaharibu nidhamu shuleni, waangalie jinsi wanavyoongea na wanafunz ni kisela, wanatongoza wanafunzi nk yan ni vurugu, japo kuna baadhi ya profesiana techers wanavijitabia hiv, sababu zake nitazieleza.
1)Malipo madogo katika fani ya ualimu. Jamani tuache ushabiki, sekta ambayo inaathiri maendeleo ya taifa lolote ni elimu, taifa tulilonalo leo na tunalotarajia kuwa nalo kesho lazima limepitia na lipitie katika mikono ya mwalim, kama ni taifa lililojaa ujinga bac ni dhahili limepitia katika mikono ya walim wa namna hiyo na kama ni taifa lililoelimika basi ni kaz murua ya walim. Hii inaonesha ni jinsi gani mwalim anatakiwa kuboreshewa maslahi yake ili atulize akili yake na hatimae tupate taifa lililoelimika vizuri, madaktari wazuri, maengeneers, lawyers,n.k hu tokana na kazi ya walim.Hivyo illi mwalimu aweze kumuandaa vizuri mwanafunzi ni lazima apewe malipo yatayomwondolea stress ya maisha, kutokana na ujira mdogo ndo maana walimu hawakai na wanafunzi muda mwingi kwan baada ya mda wa kaz tu anaondoka kwwenda kujitafutia kipato cha ziada,sasani muda gani ataanza kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi? Kwani mda wakaz wa mchana pekee hautoshi inabidi mambo mengine na maandalio ya ufundishaji uyafanye nje na muda wa kaz..lakn nani apoteze muda wake wakat hatamshara wenyewe hautoshi?.
3)Product za wanafunzi wanaosomea fani ya ualimu. Historia inaonesha enzi za utawala wa mwingereza hapa Tanganyika,ufaulu wa mwanafunzi ndo uliamua aende fani gani...daraja la kwanza na la pili ndio waliokuwa walimu kuwafundisha wenzao mfano ,Nyerere, daraja la tatu ndio waliokuwa makarani, messangers n.k, daraja la nne ndio waliokuwa wanafanya kaz ngumu kama udreva,migodini,jeshini,umakenika n.k. Sasa hebu angalia baada ya uhuru na hivi karibuni, wanafunz wanaopata daraja la kwanza na la pili hawawaz kabisa kuwa walimu na kaapbasi wachache na hasa watoto wa wakuwjili ya urahisi wa ajira, wengi huenda kusomea sheria, uongozi na fani nyingine kabisa mbali na ualimu; lakini baadhi ya waliopata daraja la tatu na dampo la waliopata daraja la nne ndo wanakuwa walim wa kizazi tunachotarajitatufanyia mak katika endeleo ya Taifa hili. Hivi kweli ni sahihi kukabid watoto wetu kwa mwanafunzi aliepata daraja la nne na tutegemee wawe na akili za kuweza kuwazidi walimu wao waliowafundisha? Mwalimu alie na uwezo mdogo hawezi mfundha mwanafunz nje na akijuacha, na ikibidi huweza kumdanganya pia.Kwa nin wanafunz waliopat daraja la kwanza na la pili wasiwe walimu? Ili wanafunzi wapata elimu stahiki?
huo ni upande wa walim..kwa wanafunzi nitaendelea.
 
Matokeo ya kidato cha nne 2012 yanatoka lini??
Wadau mi sielewi apa, kwanini hawatoagi tarehe maalumu,. Wanaficha ficha ili iweje? Matokeo ni lini..?
 
nenda baraza la mitihani ukaulize au kama vipi jiunge na course za muda mfupi ili zikukip busy kipindi unasubiri matokeo
 
Vijijini kuna kazi nyingi zinzoenda na sufuri then wasije mjini kusababisha wimbi la vibaka na ombamba
 
Tetesi zilizopo ni kwamba matokeo ya kidato cha nne yanaweza kutoka ijumaa ya wiki hii yaani tr 8 ili kutoa nafasi kwa wale ambao matokeo hayatakuwa mazuri kuweza kujisajiri kama private candidate coz mwisho wa usajili bila penariti ni tr 28 mwezi huu wa februari.
 
Subirini yatoke kwanza maana hakuna mtu anaejua hizi tetesi nazo kha!
 
Nani kawqambia mpost huu upuuzi.. Kila mtu anatetesi ya muda wake sasa itakuwaje kama kila mtu akija hapa na kupost tetesi yake??
 
Hanaga mwisho labda uchoke ww na kuamua kustop ila kama unauwezo wa kuendea unaendelea tu mpaka utakapo ona unacho kitafuta umekipata.
 
Ha ha!guys naona tokeo limekua mad kubwa kwa wahtmu wa form four.tatzo la serkal ye2 haina utartbu maalmu juu ya utkelezj wa majkumu hko serkaln.ndo maan mpka xaxa ha2jui knachendlea .wanawapa 2 stress vjan .ungkut 2najua trhe maalm vjn wasingpoteza md kufuatlia hii ish mtzm wangu nd huo.2lilie serkal ibdilshe utrtbu
 
:mimba:Nimepata taarifa kutoka kwenye chanzo cha kuaminika kuwa Matokeo ya kidato cha Nne 2012 yatatolewa Mwezi wa Nne (04) kwa sababu mwaka huu kidato cha tano wanaanza mwezi wa Sita au wa Saba kufuatia mabadiliko ya Mihula iliyopitishwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, wadau futilieni!

Hapo tutadanganyana bure tu, suala la msing n kuwasubir watu wa idala husika walopoke kwan wao ndio wanaojua ukwel ulivyo, na c suala la kubashiri.
 
Hapo tutadanganyana tu ndugu zangu, suala la msing n kusubir idala husika walopoke..!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom