Kuna kila dalili kuwa wana Arumeru watamchagua Sioi, kwa hiyo tutarajie cdm waje na haya majibu: .tumejitahidi kura zimeongezeka .kura zimechakachuliwa .mawakala walihongwa .mkurugenzi wa uchaguzi ni kada wa ccm kama ulikuwepo vile hawatakosa cha kusema
all the time najiuliza kwa nini wana cdm mnamhofia sana lowasa yeye ni mbunge tu wako kina mkapa na wasira bt hata hawaogopewi nahis lowasa ana cha ziada by the way he is strong na anajiamin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.