Acha astaafu tu,mbona hana msaadaChampion boy
Kichape Genk, huku Bongo wakikuzingua staafu tu waachie timu yao kichwaa cha mwenda wazimu kama vipi hata uraia unabadili tu.
Haina kufeli
Nyie watetezi mwenyewe kakubali kukosolewa mbona kila siku watu wanalalamika huku naniliu hapendi kukosolewa ila haohao mnalalamika kila sikumnapinga mtu kukosolewa,Samatta yeye nani asikosolewe? Tuache ushamba mpira hauchezwi chumbaniTulitaka awe kipa yeye, beki yeye, mkabaji yeye, mfungaji yeye? Hapana, ndio maana ikaitwa Team!
Comment yako haieleweki mkuu, hebu iandike upya.Anazingua huyu wa kuliowa ni msuva hamna kitu pale bora nchimbi tu aende genk tu
Yaani ameshindwa hata kuomba radhi!!Nyie watetezi mwenyewe kakubali kukosolewa mbona kila siku watu wanalalamika huku naniliu hapendi kukosolewa ila haohao mnalalamika kila sikumnapinga mtu kukosolewa,Samatta yeye nani asikosolewe? Tuache ushamba mpira hauchezwi chumbani
Baada ya mijadala mitandaoni, hii ni kauli ya Mbwana Samatta. Je, tutarajie mabadiliko yoyote kutoka kwa Captain, au ataendelea kupuyanga?
Je, kwa Tweet yake hii ni kweli amegundua alikuwa hajitumi?
Wewe ulitaka aakusaidie nini?Acha astaafu tu,mbona hana msaada
Najiuliza kwani huyu Bwana Mbwana alikuwa anachezea timu nzima na watu walihitaji kiwango cha timu au cha Mbwana? bado sielewi elewi kuna redio moja imemshambulia sana jana nkashindwa kuelewa watu huwa wanafikiri vipi.Baada ya mijadala mitandaoni, hii ni kauli ya Mbwana Samatta. Je, tutarajie mabadiliko yoyote kutoka kwa Captain, au ataendelea kupuyanga?
Je, kwa Tweet yake hii ni kweli amegundua alikuwa hajitumi?
Ndomaana ikaitwa kichwa cha mwendawazimu sababu kila mtu ana mamlaka ya kuongea na kufanya maamuziChampion boy
Kichape Genk, huku Bongo wakikuzingua staafu tu waachie timu yao kichwaa cha mwenda wazimu kama vipi hata uraia unabadili tu.
Haina kufeli
mbona umemshkia bango sana samatta vp mzee kwani ameua au alikuchania mikeka? uwe muelewa siyo mechi mbili tatu tu unalalamika kama umenyimwa mshaharaNyie watetezi mwenyewe kakubali kukosolewa mbona kila siku watu wanalalamika huku naniliu hapendi kukosolewa ila haohao mnalalamika kila sikumnapinga mtu kukosolewa,Samatta yeye nani asikosolewe? Tuache ushamba mpira hauchezwi chumbani
Hizo ndo akili za wabongo kumfukuza stars wameona haitoshi wanataka wamfukuzishe na Genk badala yake aende Nchimbi, akihamia newcastle watamuandama tena.. wabongo bila kuwaletea ugumu watakuburuza sanaComment yako haieleweki mkuu, hebu iandike upya.