Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Mbunge wa Karatu anaitwa Daniel Awack ... huyu yupo yupo tu hajawahi kuchangia . Jimboni hayupo wala Bungeni haonekani
 
Kigwa wa Kigwa.....
 
Je,hao wanao ongea kama chiriku,wamefanya nini ktk majimbo yao....? matendo yanaongea zaid kuliko maneno...
 
Mbunge wa Moshi Vijijini Prof. Ndakidemi

Tena ni Prof ila sijawahi kumsikia kabisa.. Itakuwa wananchi wake hawana shida za kuziwasilisha... hahahaha
Uchaguzi wa 2020 Kilimanajaro ilipata hasara sana ukiondoa Dk Kimei nadhani hakuna mbunge mwingine wa maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…