tutaishije!!!

tutaishije!!!

Anna pita

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
227
Reaction score
427
Mm ninamchumba wangu katembea na rafiki yang nifanyeje? Moyoni kanitoka kabisa tatizo keshanitambulisha kwao na kunivisha pete ya uchumba mbele ya kanisa na mahari ni tarehe 27 nifanyeje binafsi kanitoka kabisaaa!!! Na cjui hiyo ndoa itakuaje nishaurini jmn
 
Shukuru Mungu haujafunga naye ndoa,No one can live ur life for you!! U have to live it by urself.Tafakari chukua hatua.
 
Kumbe hujamuoa bado...afadhali.

Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
pole kwa shida...hiyo ni shida kubwa....dalili ya mvua ni mawingu....ukiingia kwenye ndoa ndo itakuwa bala...pima mwenyewe
 
vunja huo uchumba mweleze na huyo mchungaji yaliyotokea.
 
Mm ninamchumba wangu katembea na rafiki yang nifanyeje? Moyoni kanitoka kabisa tatizo keshanitambulisha kwao na kunivisha pete ya uchumba mbele ya kanisa na mahari ni tarehe 27 nifanyeje binafsi kanitoka kabisaaa!!! Na cjui hiyo ndoa itakuaje nishaurini jmn

Kama una nia kweli ya kuachana na huyo mchumba wako basi wakati ndio huu...

Kitendo cha kutotolewa mahari ni ahueni kwako kwani hujafungwa bado kwa huyo bwana...

Chukua muda kufikiria ni nini wataka iwe hatma ya mahusiano yenu na chukua hatua...
 
Watu wengine bwana, sasa unatka ushauri gani?

Someone has cheated, kuna mawili msamehe (kitu ambacho inaonekana umeshakifanya) au umuache. Hayo ndio maamuzi baada ya usaliti. Sasa sijui unataka nini zaidi, kama ni heshima za kiafrika na kwa sababu ya "heshima ya kuolewa" we endelea nae tu.
 
Mungu wetu ni mwema sana!huwa anatuonyesha ishara mapema ila tunapenda puuzia!!huyo akikuo ndio atatembea mpaka na mahouse girl..!yaani muache kabisa!
 
Mm ninamchumba wangu katembea na rafiki yang nifanyeje? Moyoni kanitoka kabisa tatizo keshanitambulisha kwao na kunivisha pete ya uchumba mbele ya kanisa na mahari ni tarehe 27 nifanyeje binafsi kanitoka kabisaaa!!! Na cjui hiyo ndoa itakuaje nishaurini jmn

Ndio yule ambaye kipindi fulani uliwahi kusema alikuwa mshamba mshamba kwenye mapenzi?...
 
tupe hiyo thread mkuu tukumbushie maindi....tehe tehe watu mnatunza memory

Ngoja aseme kama ni yeye mkuu maana nakumbuka kama au zaidi ---- mtu mwenye jina kama hili alisema alitoka kwenye kutambulishwa na mchumba wake wakalala gesti wakaduu... lahaula. Jamaa alikuwa mshamba
 
Back
Top Bottom