Tutailipa ACACIA, Ila tuing'oe CCM kwanza

Tutailipa ACACIA, Ila tuing'oe CCM kwanza

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,344
Reaction score
9,845
Historia imetusogeza katika ukingo wa haki. Mahali ambapo tunapaswa kutoa haki kwa wenye haki, na kupokea haki tunayostahili.
Ikiwa nguvu itahitajika ni sawa, maana historia itakuwa imetusogeza kwenye ukingo wa machafuko na hatuwezi kukwepa!

CCM imetuletea majanga yasiyomithilika.Ndio iliyopitisha sheria za uwekezaji kimuhemuhe. Ndio waliosign mikataba na wazungu kwa siri.
Na kama rasilimali zetu zimeibiwa basi CCM ni mshiriki namba moja kwenye huo wizi.

Tutamlipa Acacia, sio kwasababu ni halali, ila ni haki yake kisheria.
Na CCM hatuwezi kuwaacha hivi hivi hivi, itageuka ni mazoea.Tutamtendea kama mwizi anavyotendewa.
1. Tuitoe madarakani kabla ya kuidhinisha shilingi yoyote kumlipa Acacia.
2. Wahusika wakuu, Mzee Mkapa & co. Tuwafanyie mahakama ya wazi pale uwanja wa taifa.
TUWAHUKUMU WATU KUTOKANA NA MATENDO YAO.

Ndugu zangu, nyakati kama hizi ni adimu sana katika historia.
Ni nyakati za kipekee na zisizofananishwa na nyingine kwa vijana kuonyesha uwepo na uhai wao katika taifa. Vijana lazima waache alama ya kizazi chao katika historia.

Tumekusanya matatizo mengi kama taifa na hii ni fursa ya kuyatatua.
Nyakati kama hizi zinahitaji maamuzi magumu, roho na mioyo iliyo tayari ambayo hutokea mara chache sana katika historia. Lakini zinapotokea huleta mafanikio makubwa sana kutoka katika uwezo wa juu kabisa wa mtu!

CCM OUT!
 
Hivi aliyewaambia ACACIA watashinda kesi ni nani? Mbona watanzania hamjiamini, kesi kufunguliwa London au sehemu nyingine yoyote ile duniani haimaanishi Tanzania lazima ishindwe.
Alafu kesi yenyewe ni ya kuomba kuruhusu third party kufanya uchunguzi hata sio kuomba fidia. Watu mnaogopa sana companies za nje, ACACIA wana pesa ndiyo ila a $1 billion dollar company kwa hii age sio scary at all.
 
Historia imetusogeza katika ukingo wa haki. Mahali ambapo tunapaswa kutoa haki kwa wenye haki, na kupokea haki tunayostahili.
Ikiwa nguvu itahitajika ni sawa, maana historia itakuwa imetusogeza kwenye ukingo wa machafuko na hatuwezi kukwepa!

CCM imetuletea majanga yasiyomithilika.Ndio iliyopitisha sheria za uwekezaji kimuhemuhe. Ndio waliosign mikataba na wazungu kwa siri.
Na kama rasilimali zetu zimeibiwa basi CCM ni mshiriki namba moja kwenye huo wizi.

Tutamlipa Acacia, sio kwasababu ni halali, ila ni haki yake kisheria.
Na CCM hatuwezi kuwaacha hivi hivi hivi, itageuka ni mazoea.Tutamtendea kama mwizi anavyotendewa.
1. Tuitoe madarakani kabla ya kuidhinisha shilingi yoyote kumlipa Acacia.
2. Wahusika wakuu, Mzee Mkapa & co. Tuwafanyie mahakama ya wazi pale uwanja wa taifa.
TUWAHUKUMU WATU KUTOKANA NA MATENDO YAO.

Ndugu zangu, nyakati kama hizi ni adimu sana katika historia.
Ni nyakati za kipekee na zisizofananishwa na nyingine kwa vijana kuonyesha uwepo na uhai wao katika taifa. Vijana lazima waache alama ya kizazi chao katika historia.

Tumekusanya matatizo mengi kama taifa na hii ni fursa ya kuyatatua.
Nyakati kama hizi zinahitaji maamuzi magumu, roho na mioyo iliyo tayari ambayo hutokea mara chache sana katika historia. Lakini zinapotokea huleta mafanikio makubwa sana kutoka katika uwezo wa juu kabisa wa mtu!

CCM OUT!
Nakubalina na wewe ccm ni tatizo baya sana!
 
Hivi aliyewaambia ACACIA watashinda kesi ni nani? Mbona watanzania hamjiamini, kesi kufunguliwa London au sehemu nyingine yoyote ile duniani haimaanishi Tanzania lazima ishindwe.
Alafu kesi yenyewe ni ya kuomba kuruhusu third party kufanya uchunguzi hata sio kuomba fidia. Watu mnaogopa sana companies za nje, ACACIA wana pesa ndiyo ila a $1 billion dollar company kwa hii age sio scary at all.

Mikataba inawabeba ndio maana mpaka sasa serikali hawagusu hiyo mikataba.
 
Mikataba inawabeba ndio maana mpaka sasa serikali hawagusu hiyo mikataba.

Mikataba ipi inawabeba, we umeiona? Au umesikia story kutoka kwa mtu ambaye hawezi kuthibitisha. Mikataba haiwabebi kutoa data za uongo, hamna mkataba wa namna hiyo dunia nzima, na hili swala litapelekea mikataba yote kubadilishwa subiri uone.
 
Mikataba ipi inawabeba, we umeiona? Au umesikia story kutoka kwa mtu ambaye hawezi kuthibitisha. Mikataba haiwabebi kutoa data za uongo, hamna mkataba wa namna hiyo dunia nzima, na hili swala litapelekea mikataba yote kubadilishwa subiri uone.

Unajua ni kwanini wanawai kufungua kesi? Kwasababu wanajua wanashinda.
 
2. Wahusika wakuu, Mzee Mkapa & co. Tuwafanyie mahakama ya wazi pale uwanja wa taifa.
TUWAHUKUMU WATU KUTOKANA NA MATENDO YAO.


upload_2017-5-26_19-30-53-png.514932
 
Kuipa kura ccm ni sawa na kujichimbia kaburi hawana jipya wakina slowslow
 
Wewe una uhakika ACACIA watashinda hiyo kesi? Na je umeiona hiyo mikataba? Kufungua kesi mapema ni lazima maana wameguswa sehemu ya maisha yao.lakini cha pili hiyo CCM tutaitoa kwa namna ipi? Ya kuchukua makapi yanayotemwa huko CCM halafu sisi tunayapokea na kuyapatia bendera kugombea kwetu? Hapo ni sawasawa na kutoa CCM A kuja CCM B,,yaani mtu ahamie Chadema leo na kesho apewe kugombea uraisi tena bila utaratibu maalumu? Bado una ndoto ya kwamba tutaitoa ccm? Na haohao pia walikwepo wakati hiyo mikataba ya unyonyaji inapitishwa ioa walinyamaza kimya,wametukwamisha kwenye katiba mpya,ila kukatwa tu uraisi wakakimbilia huku we bado unaamini watatusaidia kuitoa Ccm?amka mkuu,wanasiasa wasikupelekeshe
 
Hivi aliyewaambia ACACIA watashinda kesi ni nani? Mbona watanzania hamjiamini, kesi kufunguliwa London au sehemu nyingine yoyote ile duniani haimaanishi Tanzania lazima ishindwe.
Alafu kesi yenyewe ni ya kuomba kuruhusu third party kufanya uchunguzi hata sio kuomba fidia. Watu mnaogopa sana companies za nje, ACACIA wana pesa ndiyo ila a $1 billion dollar company kwa hii age sio scary at all.
Ukifuatilia historia ya kesi kama hizi, ni kesi gani tulisha wai shinda?
Lengo la mtoa hoja sio kushindwa ama kushinda kesi lengo ni jinsi gani ya kuepekua kuwa na makesi kama haya uko mbeleni. Na njia ni moja tu kuondoa wapitisha mikataba feki ambao leo hii yanajiona hero kwa kuzuia hivi vijikontaina.
 
Hivi aliyewaambia ACACIA watashinda kesi ni nani? Mbona watanzania hamjiamini, kesi kufunguliwa London au sehemu nyingine yoyote ile duniani haimaanishi Tanzania lazima ishindwe.
Alafu kesi yenyewe ni ya kuomba kuruhusu third party kufanya uchunguzi hata sio kuomba fidia. Watu mnaogopa sana companies za nje, ACACIA wana pesa ndiyo ila a $1 billion dollar company kwa hii age sio scary at all.
Ni kwamba wanasheria wa Tz hawana historia ya kushinda kesi.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Hivi aliyewaambia ACACIA watashinda kesi ni nani? Mbona watanzania hamjiamini, kesi kufunguliwa London au sehemu nyingine yoyote ile duniani haimaanishi Tanzania lazima ishindwe.
Alafu kesi yenyewe ni ya kuomba kuruhusu third party kufanya uchunguzi hata sio kuomba fidia. Watu mnaogopa sana companies za nje, ACACIA wana pesa ndiyo ila a $1 billion dollar company kwa hii age sio scary at all.
Usidharau kampuni kwa kuwa mtaji wake ni USD 1 B.kumbuka ni subsidiary ya barrick hiyo acacia.
 
Back
Top Bottom