Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,344
- 9,845
Historia imetusogeza katika ukingo wa haki. Mahali ambapo tunapaswa kutoa haki kwa wenye haki, na kupokea haki tunayostahili.
Ikiwa nguvu itahitajika ni sawa, maana historia itakuwa imetusogeza kwenye ukingo wa machafuko na hatuwezi kukwepa!
CCM imetuletea majanga yasiyomithilika.Ndio iliyopitisha sheria za uwekezaji kimuhemuhe. Ndio waliosign mikataba na wazungu kwa siri.
Na kama rasilimali zetu zimeibiwa basi CCM ni mshiriki namba moja kwenye huo wizi.
Tutamlipa Acacia, sio kwasababu ni halali, ila ni haki yake kisheria.
Na CCM hatuwezi kuwaacha hivi hivi hivi, itageuka ni mazoea.Tutamtendea kama mwizi anavyotendewa.
1. Tuitoe madarakani kabla ya kuidhinisha shilingi yoyote kumlipa Acacia.
2. Wahusika wakuu, Mzee Mkapa & co. Tuwafanyie mahakama ya wazi pale uwanja wa taifa.
TUWAHUKUMU WATU KUTOKANA NA MATENDO YAO.
Ndugu zangu, nyakati kama hizi ni adimu sana katika historia.
Ni nyakati za kipekee na zisizofananishwa na nyingine kwa vijana kuonyesha uwepo na uhai wao katika taifa. Vijana lazima waache alama ya kizazi chao katika historia.
Tumekusanya matatizo mengi kama taifa na hii ni fursa ya kuyatatua.
Nyakati kama hizi zinahitaji maamuzi magumu, roho na mioyo iliyo tayari ambayo hutokea mara chache sana katika historia. Lakini zinapotokea huleta mafanikio makubwa sana kutoka katika uwezo wa juu kabisa wa mtu!
CCM OUT!
Ikiwa nguvu itahitajika ni sawa, maana historia itakuwa imetusogeza kwenye ukingo wa machafuko na hatuwezi kukwepa!
CCM imetuletea majanga yasiyomithilika.Ndio iliyopitisha sheria za uwekezaji kimuhemuhe. Ndio waliosign mikataba na wazungu kwa siri.
Na kama rasilimali zetu zimeibiwa basi CCM ni mshiriki namba moja kwenye huo wizi.
Tutamlipa Acacia, sio kwasababu ni halali, ila ni haki yake kisheria.
Na CCM hatuwezi kuwaacha hivi hivi hivi, itageuka ni mazoea.Tutamtendea kama mwizi anavyotendewa.
1. Tuitoe madarakani kabla ya kuidhinisha shilingi yoyote kumlipa Acacia.
2. Wahusika wakuu, Mzee Mkapa & co. Tuwafanyie mahakama ya wazi pale uwanja wa taifa.
TUWAHUKUMU WATU KUTOKANA NA MATENDO YAO.
Ndugu zangu, nyakati kama hizi ni adimu sana katika historia.
Ni nyakati za kipekee na zisizofananishwa na nyingine kwa vijana kuonyesha uwepo na uhai wao katika taifa. Vijana lazima waache alama ya kizazi chao katika historia.
Tumekusanya matatizo mengi kama taifa na hii ni fursa ya kuyatatua.
Nyakati kama hizi zinahitaji maamuzi magumu, roho na mioyo iliyo tayari ambayo hutokea mara chache sana katika historia. Lakini zinapotokea huleta mafanikio makubwa sana kutoka katika uwezo wa juu kabisa wa mtu!
CCM OUT!