Alaafu unapotangaza tu vita hao watu si watahama au kubdrisha tu makazi...kwanini wasifanye kimyakimya ili isje ikawa kama hizo kelele ni kuwafanya tu wahame walipo na baadae kufanya tena yaleyale
Kwa utawala wa sheria, huyo marijan alitakiwa afunguliwe kesi za uchochezi na kutaka kuua kwa kukusudia, kwani jesh la polic hawakutakiwa to kaul kama hii yenye kuchochea mauaji
Angesema Lisu wangesha mkamata. Ingawa siungi mkono mauaji ya aina yeyote dhid ya binadam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.