Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello wana JF,
Mie naona kila kijiji kupewa million 50 kwa ajili ya maendeleo na serikali was not realistic na serikali iko embarassed by it.....
Sasa tutafute ideas za project ambazo kila kijiji kitafanya kwa budget ndogo kutoka serikalini??? Labda serikali ina uwezo wa milioni 20 badala ya 50 can we work on this small budget?
Nimeleta wana JF tushirikishane kipi kifanyike kilete maendeleo vijiini.
Thank you,
Becky.
Mie naona kila kijiji kupewa million 50 kwa ajili ya maendeleo na serikali was not realistic na serikali iko embarassed by it.....
Sasa tutafute ideas za project ambazo kila kijiji kitafanya kwa budget ndogo kutoka serikalini??? Labda serikali ina uwezo wa milioni 20 badala ya 50 can we work on this small budget?
Nimeleta wana JF tushirikishane kipi kifanyike kilete maendeleo vijiini.
Thank you,
Becky.