mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,546
Heri ya jumapili wanabodi.
Jana katika shughuli ya kumuaga ndugu Alphonse Mawazo, Ndugu Mbowe alinukuliwa akisema " Tutampeleka Kamanda Mkumbo mahakamani ili ajue gharama ya kumuweka Mwanza Ndugu Lowasa kwa siku 8 ni shilingi ngapi"
Mwisho wa kunukuu:
Nionavyo:
Kumpeleka mahakamani Mkumbo ni kwa ajili ya kupindisha haki ya kiutu ikiwamo ya kuchelewesha mazishi ya ndugu mawazo au ni kwa ajili ya lowasa kukaa mwanza kusubiria mazishi?
Mbona naona kama Lowassa anafanywa mungu mtu? Ilhali haki ilikua haijatendeka kwa mawazo?.......ishu ni Lowasa au Mawazo?
Michango hasi na chanya inakaribishwa..
Jana katika shughuli ya kumuaga ndugu Alphonse Mawazo, Ndugu Mbowe alinukuliwa akisema " Tutampeleka Kamanda Mkumbo mahakamani ili ajue gharama ya kumuweka Mwanza Ndugu Lowasa kwa siku 8 ni shilingi ngapi"
Mwisho wa kunukuu:
Nionavyo:
Kumpeleka mahakamani Mkumbo ni kwa ajili ya kupindisha haki ya kiutu ikiwamo ya kuchelewesha mazishi ya ndugu mawazo au ni kwa ajili ya lowasa kukaa mwanza kusubiria mazishi?
Mbona naona kama Lowassa anafanywa mungu mtu? Ilhali haki ilikua haijatendeka kwa mawazo?.......ishu ni Lowasa au Mawazo?
Michango hasi na chanya inakaribishwa..