Nimekuwa nikifuatilia mauaji dhidi ya RAIA wasio NA hatma Huko Syria. Umoja wa mataifa umoja wa afrika haujafanya juhudi ZA kuzuia mauaji HAYO, ili kuonesha kuwa hatuafiki mauaji yanayoendelea Huko basi tususie bidhaa zako. Maonesho yanaanza tarehe 17 February.