Yani usipime mkuu toka late 2015 hadi sasa.Miaka 5 kwa maisha ya binadamu ni mingi sana.
Usidanganywe wote tutakufa.
Kabisa watu wanatishana sana!!! Kula na fanya mazoezi tu basi.
Si mliambiwa lazima muishi kama mashetani? Mbona mnasahau haraka hivyo?Umetumwa na shetani wewe sio bure
Ila katika vyote,sigara ndo hatari,,,Je, unakula kitimoto🐷🐖🐽? Je, wewe ni Msabato safi na hauvuti sigara, hunywi pombe, na huli haramu?
Je, wewe ni Muislam Safi na huli najisi yoyote, Wala hunywi 🥃🍻?
Je, wewe unavuta sigara, unakula K na kitimoto 🐷🐖🐽?
Amini nawaambia life span yet wote sawa. Wengi hufa kuanzia miaka 60. Wee jiachie tu.
Kuna mzee mmoja alipigwa ngwala kimo Cha mbuzi na BASHITE, anakunywaga ngumu kumeza.... Mzimaaa wa Afya njema.
Salim A. Salim havuti, hanywi yaani Safi lakini afya ndio spana mkononi.
Hebu tusitishane sijui usinywe soda, usile chumvi, usile kitimoto 🐷 🐖🐽, usile K, sijui usile nini, wewe kula tu.
Rough sex inaongeza Sana umri.
Umeona ehh
Oh yesBasi tujiachie na kutafuta mali kwa namna yoyote, vunja mifupa bado meno ipo (aliimba mwanamziki)
Ohh yes😂😂😂 wacha tujilie kitimoto na sanitizer (kvant) wasitutishe bwana
Huwa najiuliza sana hii ishu...Sometimes utaona mwingine amevaa barakoa huku anaendesha gari yake halafu yuko alone, kafunga na vioo!
Na mwisho wa siku wote tunakufa
Dunia tunapita...Samba Mapangala
Je, unakula kitimoto🐷🐖🐽? Je, wewe ni Msabato safi na hauvuti sigara, hunywi pombe, na huli haramu?
Je, wewe ni Muislam Safi na huli najisi yoyote, Wala hunywi 🥃🍻?
Je, wewe unavuta sigara, unakula K na kitimoto 🐷🐖🐽?
Amini nawaambia life span yet wote sawa. Wengi hufa kuanzia miaka 60. Wee jiachie tu.
Kuna mzee mmoja alipigwa ngwala kimo Cha mbuzi na BASHITE, anakunywaga ngumu kumeza.... Mzimaaa wa Afya njema.
Salim A. Salim havuti, hanywi yaani Safi lakini afya ndio spana mkononi.
Hebu tusitishane sijui usinywe soda, usile chumvi, usile kitimoto 🐷 🐖🐽, usile K, sijui usile nini, wewe kula tu.
Wangeishi mileleNa pia ingekuwa hvyo kama hao watishaji wanavyosema wao wasiotumia hivyo vitu si wangekuwa wanagonga hata miaka 80 kwenda juu,ila wapiiii,wote sawa sawia
Ukiwa na mke anayekufariji, anayekujali, anayekupenda na kujuthamini, maisha utayaona Kama Paradiso hata ukiwa huna hela.Over 60 Kama huna hela ni shider tupu