Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Je, unakula kitimoto🐷🐖🐽? Je, wewe ni Msabato safi na hauvuti sigara, hunywi pombe, na huli haramu?
Je, wewe ni Muislam Safi na huli najisi yoyote, Wala hunywi 🥃🍻?
Je, wewe unavuta sigara, unakula K na kitimoto 🐷🐖🐽?
Amini nawaambia life span yet wote sawa. Wengi hufa kuanzia miaka 60. Wee jiachie tu.
Kuna mzee mmoja alipigwa ngwala kimo Cha mbuzi na BASHITE, anakunywaga ngumu kumeza.... Mzimaaa wa Afya njema.
Salim A. Salim havuti, hanywi yaani Safi lakini afya ndio spana mkononi.
Hebu tusitishane sijui usinywe soda, usile chumvi, usile kitimoto 🐷 🐖🐽, usile K, sijui usile nini, wewe kula tu.
Je, wewe ni Muislam Safi na huli najisi yoyote, Wala hunywi 🥃🍻?
Je, wewe unavuta sigara, unakula K na kitimoto 🐷🐖🐽?
Amini nawaambia life span yet wote sawa. Wengi hufa kuanzia miaka 60. Wee jiachie tu.
Kuna mzee mmoja alipigwa ngwala kimo Cha mbuzi na BASHITE, anakunywaga ngumu kumeza.... Mzimaaa wa Afya njema.
Salim A. Salim havuti, hanywi yaani Safi lakini afya ndio spana mkononi.
Hebu tusitishane sijui usinywe soda, usile chumvi, usile kitimoto 🐷 🐖🐽, usile K, sijui usile nini, wewe kula tu.