Tusipokuwa makini bodaboda zitamaliza kizazi chetu

Boran Jakutay

Senior Member
Apr 8, 2023
110
255
Usafiri wa bodaboda ni rahisi na nafuu hasa kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam kutokana na foleni zilizopo.

Lakini bodaboda hizo sio salama zaidi kwa maisha yetu na tusipokuwa makini, zitamaliza kizazi chetu.

Kila kukicha, ajali za bodaboda zinaongezeka, hiyo inatokana na madereva kutokuwa makini, huku wengine wakikosa uzoefu.

Nimeshuhudia kwa macho yangu, kijana amefika mtaani, kwa kuwa hana mishe ya kufanya, akaomba afundishe kuendesha pikipiki, akafundisha kienyeji na wenzake.

Baada ya wiki moja, kaingia barabarani na chombo eti na yeye anabeba abiria.

Tazama mtu kama huyu, hana elimu yoyote ya usalama barabarani, achilia mbali cheti cha mfunzo na leseni.

Abiria akitokea kwa kuwa hamfahamu huyo kijana na amemuona tu amepaki kijiweni na pikipiki, anapanda ili afikishwe safari yake.

Bahati mbaya wanapata ajali kwa uzembe wa dereva, vifo vinatokea au ulemavu wa kudumu.

Sisemi kwamba mtu mzoefu na mwenye elimu ya udereva hawezi kupata ajali, lakini huyu anakuwa na tahadhari kubwa kumshinda asiye na elimu.

Ndugu zangu tuwe makini na hivi vyombo, tusipojilinda wenyewe, hakuna miujiza itakayoshuka kuja kutuokoa.
 
20230406_100449.jpg
 
Usafiri wa bodaboda ni rahisi na nafuu hasa kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam kutokana na foleni zilizopo.

Lakini bodaboda hizo sio salama zaidi kwa maisha yetu na tusipokuwa makini, zitamaliza kizazi chetu.

Kila kukicha, ajali za bodaboda zinaongezeka, hiyo inatokana na madereva kutokuwa makini, huku wengine wakikosa uzoefu.

Nimeshuhudia kwa macho yangu, kijana amefika mtaani, kwa kuwa hana mishe ya kufanya, akaomba afundishe kuendesha pikipiki, akafundisha kienyeji na wenzake.

Baada ya wiki moja, kaingia barabarani na chombo eti na yeye anabeba abiria.

Tazama mtu kama huyu, hana elimu yoyote ya usalama barabarani, achilia mbali cheti cha mfunzo na leseni.

Abiria akitokea kwa kuwa hamfahamu huyo kijana na amemuona tu amepaki kijiweni na pikipiki, anapanda ili afikishwe safari yake.

Bahati mbaya wanapata ajali kwa uzembe wa dereva, vifo vinatokea au ulemavu wa kudumu.

Sisemi kwamba mtu mzoefu na mwenye elimu ya udereva hawezi kupata ajali, lakini huyu anakuwa na tahadhari kubwa kumshinda asiye na elimu.

Ndugu zangu tuwe makini na hivi vyombo, tusipojilinda wenyewe, hakuna miujiza itakayoshuka kuja kutuokoa.
Uko sahihi sana mkuu...
 
Kama ajali zoote za bodaboda zinazotokea Jiji kama DSM zingekuwa zana ripotiwa Dunia Ingesimama!! Vijana Wanakufa sio utani!? Na nyingi hutokea usiku!! .Askari wanaitwa wanachukua mwili raia wanamwanga mchanga kufukia damu!! Hali ni mbaya!! Mm Huwa namshangaa mtu anaepanda bodaboda dar na kupelekwa mjini !!
 
Kama ajali zoote za bodaboda zinazotokea Jiji kama DSM zingekuwa zana ripotiwa Dunia Ingesimama!! Vijana Wanakufa sio utani!? Na nyingi hutokea usiku!! .Askari wanaitwa wanachukua mwili raia wanamwanga mchanga kufukia damu!! Hali ni mbaya!! Mm Huwa namshangaa mtu anaepanda bodaboda dar na kupelekwa mjini !!
Mmh
 
Na wengi wao hawavai makoti. Kwa sasa boda akipona kukatwa mguu anapambana na magonjwa ya kifua
 
Pale wanasiasa watakapoacha kuwatumia kama mtaji wao ,ndipo hata polisi wataweza kutimiza majukumu yao dhidi ya kundi hilo.
 
Kama ajali zoote za bodaboda zinazotokea Jiji kama DSM zingekuwa zana ripotiwa Dunia Ingesimama!! Vijana Wanakufa sio utani!? Na nyingi hutokea usiku!! .Askari wanaitwa wanachukua mwili raia wanamwanga mchanga kufukia damu!! Hali ni mbaya!! Mm Huwa namshangaa mtu anaepanda bodaboda dar na kupelekwa mjini !!
Yaani hili suala huwa najiuliza sisi waafrica Kwa nini hatujijali!? Kila siku mwananyamala hospital wanazika watu makumi Kwa makumi Kwa kigezo Cha unknown, wakati hizi Ajali hazitangazwi!! Wanaongeza simanzi Kwa ndugu!! Polisi hima Tangazeni hizo Ajali watu watambuliwe na wapendwa wao! Pia napenda watu wajue kila panapoonekana doa kubwa na mchanga barabarani ujue ni ajali za usiku
 
Yaani hili suala huwa najiuliza sisi waafrica Kwa nini hatujijali!? Kila siku mwananyamala hospital wanazika watu makumi Kwa makumi Kwa kigezo Cha unknown, wakati hizi Ajali hazitangazwi!! Wanaongeza simanzi Kwa ndugu!! Polisi hima Tangazeni hizo Ajali watu watambuliwe na wapendwa wao! Pia napenda watu wajue kila panapoonekana doa kubwa na mchanga barabarani ujue ni ajali za usiku
Bodaboda hawajielewi Halafu usiku madereva wengine wamelewa na kuendesha magari,
Ogopa bodaboda anaeweka miguu hivi pichani
20230407_071800.jpg
 
Usafiri wa bodaboda ni rahisi na nafuu hasa kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam kutokana na foleni zilizopo.

Lakini bodaboda hizo sio salama zaidi kwa maisha yetu na tusipokuwa makini, zitamaliza kizazi chetu.

Kila kukicha, ajali za bodaboda zinaongezeka, hiyo inatokana na madereva kutokuwa makini, huku wengine wakikosa uzoefu.

Nimeshuhudia kwa macho yangu, kijana amefika mtaani, kwa kuwa hana mishe ya kufanya, akaomba afundishe kuendesha pikipiki, akafundisha kienyeji na wenzake.

Baada ya wiki moja, kaingia barabarani na chombo eti na yeye anabeba abiria.

Tazama mtu kama huyu, hana elimu yoyote ya usalama barabarani, achilia mbali cheti cha mfunzo na leseni.

Abiria akitokea kwa kuwa hamfahamu huyo kijana na amemuona tu amepaki kijiweni na pikipiki, anapanda ili afikishwe safari yake.

Bahati mbaya wanapata ajali kwa uzembe wa dereva, vifo vinatokea au ulemavu wa kudumu.

Sisemi kwamba mtu mzoefu na mwenye elimu ya udereva hawezi kupata ajali, lakini huyu anakuwa na tahadhari kubwa kumshinda asiye na elimu.

Ndugu zangu tuwe makini na hivi vyombo, tusipojilinda wenyewe, hakuna miujiza itakayoshuka kuja kutuokoa.
Polisi wanachukua chao mapema na kusema raiya watakoma na hajari
 
Back
Top Bottom