sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
- Thread starter
- #81
Wazungu wenyewe wameanza hivi vitu miaka ya karibuni, Interview moja ya Arnold Schwarzenegger alikuwa anashangaa malezi ya kisasa, namnukuu "If we did something bad or we disobeyed our parents, the rod was not spared. "Naunga mkono hoja aisee viboko ndo dawa mausia waachie wazungu me mwenyewe wakwangu nikija kupata vimbo ni moja ya lifestyle yake na yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Madhara yake ndio watoto tunasikia wanapiga na kutukana hadi wazazi wao kitu ambacho ni nadra sana huku kwetu