Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo kua double ndo kumaanisha nini mkuu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo kua double ndo kumaanisha nini mkuu?
Ashaelewa mpaka muda huu kuwa hakimuhusu ila akilipa kiingilio mpe cheo
Na mm nimeshtuka kiukweli ...ila maelezo nimeyatumaa piiiemuuu yapitieMmhh mbona naona kama atatusumbua mbeleni katibu
Na mm sijaelewaa....udoubleee tutaujua siku ya kuvunja kamatisijaelewa nieleweshe tafadhal
🤣🤣🤣🤣Hao single wenyewe wako wapi sasa, mi nichague double (single mbili).


HahahaahahahahaMwakani tutakuwa serious kwenye matangazo ya verified users tu, wadada wa note hili
Tumepigwa sana huu mwaka.
Mwakani tutakuwa serious kwenye matangazo ya verified users tu, wadada wa note hili![]()
Tumepigwa sana huu mwaka.





Na mm nimeshtuka kiukweli ...ila maelezo nimeyatumaa piiiemuuu yapitie
Mgeni rasmi Nimesema kamati haivunjwi mpaka januari ifike... Mnataka watoto tuwarudishe Shule na Tala



usifanye ivo
Alivo mbishiSawa mkuu itakua vyema kama umeambatanisha na kopi ya vitambulisho vyake
Tala bado wapo mkuu?Mgeni rasmi Nimesema kamati haivunjwi mpaka januari ifike... Mnataka watoto tuwarudishe Shule na Tala
Alivo mbishi
And followedFollowing...
Yes tushamtoaBas hafai kwnye kamati katibu
Yes tushamtoa
Hali ni tete mkuu hebu fikiria yaan ni mgeni rasmi natoa 1m af wajumbe mnatoa 5000 kweli hili gepu hapo nan anafidia