Mie natamani tuungane tujikite kwenye kilimo na hapo ndipo serikali itatusikia,tuwe na mbinu mbadala kujiajiri kuliko kulia na ajira na waliopo kwenye ajira hawataki kutoka.
Hakika nawaambia bila kuwa na umoja miaka itakatika bila kufanya lolote. Kwanini tusiungane?
Mie binafsi sijawahi kuajiriwa na sifikirii kwa maana najua hawataweza kunilipa zaidi ya nipatacho sasa ila nataka kuunganisha nguvu kujitanua zaidi na kuwapa wengine ujasiri na fursa kuangalia mbadala zaidi ya ajira rasmi
KilimoMie natamani tuungane tujikite kwenye kilimo na hapo ndipo serikali itatusikia,tuwe na mbinu mbadala kujiajiri kuliko kulia na ajira na waliopo kwenye ajira hawataki kutoka.
Hakika nawaambia bila kuwa na umoja miaka itakatika bila kufanya lolote. Kwanini tusiungane?
Mie binafsi sijawahi kuajiriwa na sifikirii kwa maana najua hawataweza kunilipa zaidi ya nipatacho sasa ila nataka kuunganisha nguvu kujitanua zaidi na kuwapa wengine ujasiri na fursa kuangalia mbadala zaidi ya ajira rasmi
badala ya kufanya maandamano tunatakiwa kukusanyika kwa pamoja na kuanzisha kampuni ya wote waliokosa ajira kulingana na elimu zetu na tuache kulalamikia watu wenye makampuni yao li watupe ajira,