Tusio na Magari tukutane hapa

Tusio na Magari tukutane hapa

Je una gari au hauna??


  • Total voters
    132

Intelligent businessman

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
43,985
Reaction score
95,440
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura.

Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa ya member ni mataita.

Tuki ijua idadi yetu, tuna weza tukawa tuna waomba lift hawa ma don😆😂.

I mean no malice to nobody .
FB_IMG_17366198070758277.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom