Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,102
- 3,022
Nawasalimu wote JF.
Bila kupoteza muda niende kwenye mada.
Kumekuwa na malalamiko ya nyongeza za mishahara kila pembe ya nchi na wengine wakitishia kususa kazi na wengine wanatishia kuacha kazi, ukweli msioujua sisi tusio na kazi tunatamani hata robo tu ya huo mshahara.
Mimi hasa kwa upande wangu nilihitimu mwaka 2015, nimepitia mengi sana na kama Mungu akija anisaidie nipate hata hiyo laki tatu nitapiga kazi mfano hakuna na nadhani ni muda watumishi wa umma mridhike na mlichopewa.
Uzi tayari.
Bila kupoteza muda niende kwenye mada.
Kumekuwa na malalamiko ya nyongeza za mishahara kila pembe ya nchi na wengine wakitishia kususa kazi na wengine wanatishia kuacha kazi, ukweli msioujua sisi tusio na kazi tunatamani hata robo tu ya huo mshahara.
Mimi hasa kwa upande wangu nilihitimu mwaka 2015, nimepitia mengi sana na kama Mungu akija anisaidie nipate hata hiyo laki tatu nitapiga kazi mfano hakuna na nadhani ni muda watumishi wa umma mridhike na mlichopewa.
Uzi tayari.