TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,206
- 25,399
Jana tumeona sanamu yenye taswira ya baba wa Taifa ambayo kiukweli tunadanganyana kwa kupewa kitu kisicho sahihi au labda kama kuna sababu ambayo hatuijui.
Yote kwa yote haiingii akili bado, kwa hilo sanamu, hapa najaribu kuweka tofauti kwa kituko nilichokiona na nyingine iliyopatikana.
Hii 👆 na hii 👇 nani anafaa kutumiwa?
Moderator angalia content usiunganishe uzi tafadhali.
Yote kwa yote haiingii akili bado, kwa hilo sanamu, hapa najaribu kuweka tofauti kwa kituko nilichokiona na nyingine iliyopatikana.
Hii 👆 na hii 👇 nani anafaa kutumiwa?
Moderator angalia content usiunganishe uzi tafadhali.
