Tusikate tamaa ipo siku tutawafikia

Tusikate tamaa ipo siku tutawafikia

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,762
Reaction score
37,390
Hii ni helicopter toka Kenya na inatarajia kuruka
IMG_6040.jpg
 
Masudi Kipanya kafanya jambo kubwa sana ila huyo mkenya anatakiwa kutandikwa viboko nn hicho amefanya ? Hata kama ni uvumbuzi huo ni upumbavu yaan mabati ya chooni kuunda ndege ???
Hahahahahah
 
🤣🤣🤣🤣 huo ni utani. Akifa atamlaumu nani
 
Akifa kwenye hilo kalabai lake ashtakiwe kwa kujiua
 
Bila mamlaka ya Anga huko Juu Majanga yangekuwa mengi sana juu ya Mapaa yetu.
 
[emoji848][emoji848][emoji848] dah hii nihatar zaid ya bomu
 
Back
Top Bottom