Tusikariri kuhonga ni kipaji!

Tusikariri kuhonga ni kipaji!

Kama kumlala ni kushirikiana kijamii basi kumpa au kupewa pesa ni kushirikiana kiuchumi.
I'm red to be corrected!
 
Kama kumlala ni kushirikiana kijamii basi kumpa au kupewa pesa ni kushirikiana kiuchumi.
I'm red to be corrected!

HELA wanataka wapewe wao tu... eti ndio kugharamikia.... ukipewa wewe inatafsiriwa eti UNADANGA kwa demu.. huo si ungese.. kila mtu ABEBE msalaba wake...

zats y wengine tuna date na wanawake walio na shughuli ya kufanya.. kila mtu ajitegemee kivyake...

naweza nisitoe hata mia.. katk mapenz yetu,ila kuna special dayz mf.BIRTHDAY.. nikatoa hata GARI,NYUMBA... au kitu kingine cha thamani.. kama zawadi/supraise...... hapo sijahonga ila NIMETUNUKU
 
HELA wanataka wapewe wao tu... eti ndio kugharamikia.... ukipewa wewe inatafsiriwa eti UNADANGA kwa demu.. huo si ungese.. kila mtu ABEBE msalaba wake...

zats y wengine tuna date na wanawake walio na shughuli ya kufanya.. kila mtu ajitegemee kivyake...

naweza nisitoe hata mia.. katk mapenz yetu,ila kuna special dayz mf.BIRTHDAY.. nikatoa hata GARI,NYUMBA... au kitu kingine cha thamani.. kama zawadi/supraise...... hapo sijahonga ila NIMETUNUKU
Well said
 
Back
Top Bottom