Tusikariri kuhonga ni kipaji!

Tusikariri kuhonga ni kipaji!

Naunga mkono hoja.


Mie sina pesaaaaa, Ila kifaa nachokimiliki hahahahah lazima kiwe kisuuu sanaaaaaaaa.



Kuna wana mpaka wanasemaga, Jamaa Kauzu huyu ,hana mawee wala nn ,Ila Vyombo vyake sasa anavyomiliki ni SHIKAMOOO.

siri yangu kubwa ni KUJIAMINI TUU na LUGHA NZURI inayoamsha hisia za KUPENDWA........

Hivo mwanamke awe amenipita Umri, awe anakazi yake kubwaaa, awe anamiliki sijui nn, Awee mzuriiiii mpaka wanamuogopa wwngine, awe ni mkali ,awe ana madharauu, awe ana ubize sanaaaaaa..KAMA NAMTAKA, NITAMFATA NITAMTONGOZA KAMA KAWAIDA. Without any negativity yoyote kua ATANIONAJE AU ATANIKUBALI AU LAH.
Mkuu waliozoea kuhonga acha wahonge tu!sisi tunajibebea totozi for free
 
Huenda unaitwa mwanaume suruali bila kujijua. Kwa yule aliyesema hajawahi kuhonga
 
Pesa mwanamke anaweza kufanyia kazi ya maana mf. Kufungua biashara au chochote kile cha kumbukumbu sio vipesa vya soda
 
Back
Top Bottom