mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,944
- 43,358
Usicheke sana sijui hata naona rushwa ndio hiyo takrima
Kama nikimpa kwaajiri ya matumizi yake au akiniomba nikampa napo nimehonga?.
umehudumia
Ndio kuhonga huko mkuu
wachache wanatambua hilo wengi huona unahonga
'Told ya, wachache wanaojielewa ndio huoa hivo, wenzio hawapend kugharamika
Hao wana-negative perception. Kama ninamjali lazima nimsaidie.
Rushwa
Takrima
Tofauti yake ni ipi
Usicheke sana sijui hata naona rushwa ndio hiyo takrima

Hahahaa nn sasa
Kuhonga u expect something in return unatoa pesa akupe maumbile yake kuhudumia unafajya kama sehem tu ya wajibu wako na unafanya bila kutaraj kupewa chochote kile kama shukranKuhonga
Kuhudumia
Najaribu kutofautisha hapo
WoooooiiiiiiiKuhonga u expect something in return unatoa pesa akupe maumbile yake kuhudumia unafajya kama sehem tu ya wajibu wako na unafanya bila kutaraj kupewa chochote kile kama shukran
hahahhaha nn sasaWoooooiiiiiii
Teh! Hebu muulize kama hela zenyewe za kuhonga anazo? Ukute hiyo 15k yake ndo 150k ya mwenye nazoWewe wasema.
Kuhonga na kuhudumia ni kitu kilekile Madam S: (kwa wapendanao)hahahhaha nn sasa
Hao watu wanapatikana wapiKwanza nianze kufuta ile kauli ya kusema ili upendwe lazima utoe pesa kwa fujo!bila shaka wanaume wengi wanaopenda kuhonga wana sifa hizi
1;Madomo zege
2;Hawajiamini
3;Wapo rafurafu
4;Ni ulimbukeni
5;Watu wenye papara
6;wasiokuwa na mvuto wa chochote
7;Vibamia
8;wasiojiweza kitandani
9:Wanuka midomo na miguu
N:B Mimi naishi Dunia hii hii na sijawahi kuhonga pesa yenye thamani ya 15000tsh na ninamiliki watoto wazuri tu yaani bila stress!