Tusikariri kuhonga ni kipaji!

Tusikariri kuhonga ni kipaji!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,101
Kwanza nianze kufuta ile kauli ya kusema ili upendwe lazima utoe pesa kwa fujo!bila shaka wanaume wengi wanaopenda kuhonga wana sifa hizi
1;Madomo zege
2;Hawajiamini
3;Wapo rafurafu
4;Ni ulimbukeni
5;Watu wenye papara
6;wasiokuwa na mvuto wa chochote
7;Vibamia
8;wasiojiweza kitandani
9:Wanuka midomo na miguu
N:B Mimi naishi Dunia hii hii na sijawahi kuhonga pesa yenye thamani ya 15000tsh na ninamiliki watoto wazuri tu yaani bila stress!
 
Kwanza nianze kufuta ile kauli ya kusema ili upendwe lazima utoe pesa kwa fujo!bila shaka wanaume wengi wanaopenda kuhonga wana sifa hizi
1;Madomo zege
2;Hawajiamini
3;Wapo rafurafu
4;Ni ulimbukeni
5;Watu wenye papara
6;wasiokuwa na mvuto wa chochote
7;Vibamia
8;wasiojiweza kitandani
9:Wanuka midomo na miguu
N:B Mimi naishi Dunia hii hii na sijawahi kuhonga pesa yenye thamani ya 15000tsh na ninamiliki watoto wazuri tu yaani bila stress!
Unaibiwa mkuu shituka kama ni hivyo jua unat@mbew@.
 
Kama nikimpa kwaajiri ya matumizi yake au akiniomba nikampa napo nimehonga?.
 
Kwanza nianze kufuta ile kauli ya kusema ili upendwe lazima utoe pesa kwa fujo!bila shaka wanaume wengi wanaopenda kuhonga wana sifa hizi
1;Madomo zege
2;Hawajiamini
3;Wapo rafurafu
4;Ni ulimbukeni
5;Watu wenye papara
6;wasiokuwa na mvuto wa chochote
7;Vibamia
8;wasiojiweza kitandani
9:Wanuka midomo na miguu
N:B Mimi naishi Dunia hii hii na sijawahi kuhonga pesa yenye thamani ya 15000tsh na ninamiliki watoto wazuri tu yaani bila stress!
Huu ndio ukweli mtupu.
 
Kwanza nianze kufuta ile kauli ya kusema ili upendwe lazima utoe pesa kwa fujo!bila shaka wanaume wengi wanaopenda kuhonga wana sifa hizi
1;Madomo zege
2;Hawajiamini
3;Wapo rafurafu
4;Ni ulimbukeni
5;Watu wenye papara
6;wasiokuwa na mvuto wa chochote
7;Vibamia
8;wasiojiweza kitandani
9:Wanuka midomo na miguu
N:B Mimi naishi Dunia hii hii na sijawahi kuhonga pesa yenye thamani ya 15000tsh na ninamiliki watoto wazuri tu yaani bila stress!

kumbe na ww umehonga?? mie nahonga vitu viwili tu cha kwanza CHAKULA cha pili ni MKONGOJO baasi hayo mengine sijui HELA ya wigi.. sijui hela yan UTUMBO gani sihusiki.. na kwanza HATHUBUTU kuniomba UJINGA UJINGA
 
Yawezekana huongi zaidi ya 15000 lakini kama wahonga 14000 kila siku
Ni kweli hujafikisha 15000
Ila kumbuka
14000 *30=420000
Je hujahonga mkuu
 
Back
Top Bottom