Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
Kwanza nianze kufuta ile kauli ya kusema ili upendwe lazima utoe pesa kwa fujo!bila shaka wanaume wengi wanaopenda kuhonga wana sifa hizi
1;Madomo zege
2;Hawajiamini
3;Wapo rafurafu
4;Ni ulimbukeni
5;Watu wenye papara
6;wasiokuwa na mvuto wa chochote
7;Vibamia
8;wasiojiweza kitandani
9:Wanuka midomo na miguu
N:B Mimi naishi Dunia hii hii na sijawahi kuhonga pesa yenye thamani ya 15000tsh na ninamiliki watoto wazuri tu yaani bila stress!
1;Madomo zege
2;Hawajiamini
3;Wapo rafurafu
4;Ni ulimbukeni
5;Watu wenye papara
6;wasiokuwa na mvuto wa chochote
7;Vibamia
8;wasiojiweza kitandani
9:Wanuka midomo na miguu
N:B Mimi naishi Dunia hii hii na sijawahi kuhonga pesa yenye thamani ya 15000tsh na ninamiliki watoto wazuri tu yaani bila stress!