Tusidanganyane, pesa ina mashetani

Tusidanganyane, pesa ina mashetani

Rahisi Sana kupoteza pesa kuliko kupata pesa mfano Unakula msoto mwezi mmoja alaf mshahara ukija masaa tu unakua mweupe pee Binafsi nasema ivi Mwenye kanuni ya kupata pesa kiurahisi na kupoteza kwa shida atuambie!
 
Ila pesa mashetani kwa kweli maana mie nikipata mbona yangu inaishia kwenye papuchi tuu....ebu nisaidie niiheshimu pesa
yeye kasema eti anaoa kisha muda mfupi mke anamcheat ila hasemi zile anazohonga michepuko
 
Bado hujasema unao mke mnalala chini, ukipata pesa unatafuta mchepuko wa kula naye pesa , zikiisha ndiyo unarudisha gwala zako kwa mkeo kwanini usikae huko huko ulikopeleka pesa?
Aaaaaaah usitufokee
 
Jirani yangu kaxhukua milion 500 bank akaacha hadi kunywa chai. Asubuhi ni bia na chapati, biashara anafanyia hatua chache kutoka kwake ila msosi anaagiza town unaletwa na bolt. Jumamosi kama jumuia itakaa kwake ni nusu sherehe, waumini wanakuta supu iko tayari. Usiongelee alivotuteka madem zetu. Haijapita miezi 6 tayari gari la matangazo liko mitaani linaongelea mnada. Super hardware, warehouse(godown), nyumba ya familia na kiwanja vinapigwa mnada. Leo jamaa kakimbia familia, mama kajisalimisha kwao.

Pesa usipoiheshimu utaendelea kusema ina shetani
 
Ukwasi uliopitiliza huo ndo una siri nzito sio hizi pesa za madafu.
 
Unakopa hela ukaolee ndio ushetani unaanzia hapo
Ilimkuta jamaa angu mmoja Yuko dodoma, kakopa 30m aendeleze ofisi.

Kakutana na shombe shombe wa kisukuma Anasoma chuo UDOM Akadata,

Kwenda usukumani,
Mahali zinahitajika ng'ombe 35, million 15 cash IKAMTOKA.

July mwaka Jana, HARUSI Ikafungwa ya million 10.

Mwez ulopita, siku 3 mkewe haonekani.
katoweka kusiko julikana.

Kaja kupatikana,
Baada ya kufumaniwa hotelini anabanjuka na Mweshmiwa MBUNGE.

Mpaka mda huu jamaa amedata.
 
Ilimkuta jamaa angu mmoja Yuko dodoma, kakopa 30m aendeleze ofisi.

Kakutana na shombe shombe wa kisukuma Anasoma chuo UDOM Akadata,

Kwenda usukumani,
Mahali zinahitajika ng'ombe 35, million 15 cash IKAMTOKA.

July mwaka Jana, HARUSI Ikafungwa ya million 10.

Mwez ulopita, siku 3 mkewe haonekani.
katoweka kusiko julikana.

Kaja kupatikana,
Baada ya kufumaniwa hotelini anabanjuka na Mweshmiwa MBUNGE.

Mpaka mda huu jamaa amedata.
Anadata na nini yeye alipe tu mkopo wa bank vizuri ili nawengine wapate pesa zakukopa, pole yake sana, watu tulikuwa tuna subilia wakutuoa tunaonekana washamba acha watumbuane huko
 
Wakati mwingine shetani mnamsingizia, unakopa pesa kwa ajili kuongeza biashara,
lakini ukizipata tu unabadilisha gia angani, na pesa yenyewe lazima ikubadilikie

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Basi sawa, ila jiulize wangapi wanafanikiwa? Hafu inakuaje wakifanikiwa wanahusishwa na ushetani pia ?
Sio wote wanaohusishwa na ushetani, na wengi wanahisiwa tu wala hakuna cha ushetani, hizo ni Imani tu.

Watu wanafeli kwa uzembe tu na kutofuata taratibu sahihi za kufanikiwa au wanaweka kipaumbele kwenye jambo lisilo la msingi.
 
Umepewa karatasi ukalipa jina pesa ukataka likuletee furaha sasa linakutesa nikuite nani mwafrica mzungu au mzungu mweusi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom