Wakuu mmewahi jiuliza mbona mara nyingi tukishika pesa -baada ya muda mfupi majuto yanakua mengi?
Bila shaka pesa ina mashetani.
Ebu fikiria- unachukua mkopo unanunua gari , miezi 3 mingi gari inapinduka na kubaki screper, then unasota kurejesha mkopo kwa miaka 5 uku machungu ukiyasikilizia na familia yako nzima.
Ebu fikiria-unachukua mkopo unafanyia harusi- baada ya 6/12 unasikia wife kakucheat na msela wako, unaamua kumpiga chini na utatembea na stress za maisha
Ebu fikiria- unachukua mkopo unaiingiza pesa kwenye bahashara zako. Baada ya muda si mrefu business partner wako anatoroka na pesa yako yote . Yaan unalala na mtaji wa 15M unaamka na deni la 23M utakalolipa bank kwa muda mrefu. Hapo ukichaa usipokupata utaniambia!
Ebu fikiria- unajichanga unapeleka mtoto shule, akimaliza mhula wa kwanza anatiwa mimba na muuza chips afu anajikataa na kusepa. Kinachofuata Kama mzazi au mlezi unahudumia ujauzito, na pia unakuja kulea mjukuu.
List ni ndefu, nachotaka ukione ni kuwa inakuaje mtu akipata pesa kitakachofuata ni majuto na stress ???
Karibuni wakuu tuchangie mada kwa hoja!!! Pia unaruhusiwa Kuendeleza list ya matukio
Bila shaka pesa ina mashetani.
Ebu fikiria- unachukua mkopo unanunua gari , miezi 3 mingi gari inapinduka na kubaki screper, then unasota kurejesha mkopo kwa miaka 5 uku machungu ukiyasikilizia na familia yako nzima.
Ebu fikiria-unachukua mkopo unafanyia harusi- baada ya 6/12 unasikia wife kakucheat na msela wako, unaamua kumpiga chini na utatembea na stress za maisha
Ebu fikiria- unachukua mkopo unaiingiza pesa kwenye bahashara zako. Baada ya muda si mrefu business partner wako anatoroka na pesa yako yote . Yaan unalala na mtaji wa 15M unaamka na deni la 23M utakalolipa bank kwa muda mrefu. Hapo ukichaa usipokupata utaniambia!
Ebu fikiria- unajichanga unapeleka mtoto shule, akimaliza mhula wa kwanza anatiwa mimba na muuza chips afu anajikataa na kusepa. Kinachofuata Kama mzazi au mlezi unahudumia ujauzito, na pia unakuja kulea mjukuu.
List ni ndefu, nachotaka ukione ni kuwa inakuaje mtu akipata pesa kitakachofuata ni majuto na stress ???
Karibuni wakuu tuchangie mada kwa hoja!!! Pia unaruhusiwa Kuendeleza list ya matukio